Sisi wanasimba fuaraha yetu ni ushindi pekee mengine hayatuhusuWana simba wao wameamua kunyamaza na kuto kuhoji chochte atakachokifanya tajiri. Wao wana amini tatizo la simba ni kina mangungu.
Simba wamezindua jezi za kimataifa lkn jezi hizo zina matangazo ya Mo, mfano jezi ina mo extra kifuani juu upande wa kulia na pia ina Mo extra kubwa sana kifuani hapo.
Hivi brand ya simba imekosa kabisa kampuni ambazo zingetoa pesa kujitangaza mpka jezi yote ibandikwe matangazo ya Mo?
Huyu muhindi mjanja sana na anaitumia zaid simba kuliko kile anachokitoa.
Faida ya hayo matangazo yanaizidi hata hiyo hela ya uwekezaji, anapata faida nyingi, kama anaendesha kwa hasara mbona hataki kuachia hapo,hadi kaacha siasa na ubunge maana Simba kuna faidaKwani gharama za uendeshaji wa timu plus usajili anatoa nani? Yaani mnataka kula bila kuliwa?! Nyie mngeweza?
Waulizwe machawaWana simba wao wameamua kunyamaza na kuto kuhoji chochte atakachokifanya tajiri. Wao wana amini tatizo la simba ni kina mangungu.
Simba wamezindua jezi za kimataifa lkn jezi hizo zina matangazo ya Mo, mfano jezi ina mo extra kifuani juu upande wa kulia na pia ina Mo extra kubwa sana kifuani hapo.
Hivi brand ya simba imekosa kabisa kampuni ambazo zingetoa pesa kujitangaza mpka jezi yote ibandikwe matangazo ya Mo?
Huyu muhindi mjanja sana na anaitumia zaid simba kuliko kile anachokitoa.
Ushindi tuliopigwa 5G au kushinda wapisisi wanasimba fuaraha yetu ni ushindi pekee mengine hayatuhusu
Mbet walilipa mabilioni kuwa wadhamini wakuu halafu muhindi mmoja janjajanja anajaza matangazoFaida ya hayo matangazo yanaizidi hata hiyo hela ya uwekezaji, anapata faida nyingi, kama anaendesha kwa hasara mbona hataki kuachia hapo,hadi kaacha siasa na ubunge maana Simba kuna faida
Sent using Jamii Forums mobile app
Magungu kuna kitu anajua,sidhani kama analipia matangazo,ndo maana mashabiki wanaandamana kudeal na Magungu,Hayo majibu yalitakiwa yatoke kwa Magungu ila ndo hivo wanakula pamojaWana simba wao wameamua kunyamaza na kuto kuhoji chochte atakachokifanya tajiri. Wao wana amini tatizo la simba ni kina mangungu.
Simba wamezindua jezi za kimataifa lkn jezi hizo zina matangazo ya Mo, mfano jezi ina mo extra kifuani juu upande wa kulia na pia ina Mo extra kubwa sana kifuani hapo.
Hivi brand ya simba imekosa kabisa kampuni ambazo zingetoa pesa kujitangaza mpka jezi yote ibandikwe matangazo ya Mo?
Huyu muhindi mjanja sana na anaitumia zaid simba kuliko kile anachokitoa.