Mo anunua nyumba kuukuu Kariakoo kwa bilioni 20, aikarabati na kupangisha kwa mabilioni hii ndio biashara

Mo anunua nyumba kuukuu Kariakoo kwa bilioni 20, aikarabati na kupangisha kwa mabilioni hii ndio biashara

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Tukubali tu Mo anajua biashara na ndio maana ni tajiri, wewe huna hata genge wala tuta la mchicha hapo kwako unataka kubishana nae jitafakari.

Wakati Simba inawekwa sokoni ilikuwa ni timu kubwa kwa Tanzania ila sio Africa, timu iliwategemea akina Ndemla, Kichuya, Galas, Singano eti muifunge Al ahli, thubutu.

Hujawahi kuona mtu ananunua nyumba kuukuu anaikarabati inampa faida kuliko pesa aliyonunulia.

Au kununua basi bovu uklipimp likakulipa.

Mo ameipa thamani Simba ndio na kina GSM wakakurupuka usingizini

Bila Mo kuwekeza Simba Mbet na SportPesa wangetoa hela ndogo sana.

Hivi ligi imesimama mauzo ya bia kwenye baa yamepungua sana,watu wanaenda bar kumuona Sakho, Chama, boya Mugalu, babu Kagere na mgonjwa wa degedege Mayele

Ni sawa nakuchukua msichana kule sitimbi akiwa hajui kuvaa ukamleta mjini ukampiga sopsop akaja kuolewa na tajiri mmoja mkubwa.

Mnaoshangaa 26B za Mbet vs 20B za Mo hamjui biashara.

Kasomeni depreciation and appreciation
Kwa ufupi timu ilikuwa haina thamani ikitegemea hela za hisani za Hans Pope
 
Moo ni nani?

Hivi Mo alikuwa wapi juzi pale Simba klabuni dada mmoja anaitwa Barabarani akisafisha vumbi kabati la makombe eti liko tupu!wachezaji wamekula mishahara ya bure tu mwaka mzima na washambuliaji wote butu, kipa bomu wanamtungua za mbali tu!

Ngao ya jamii mvae jezi zenu Kolo Fc mikia na tutawapasua tena kama kule CCM Kirumba!

Udhamini 26B my foot, timu mbovu jina kubwa inapasuliwa na Mbeya City na Mtibwa Sugar tu wenye Udhamini mdogo tu!

ha ha!!
 
SAWA NI SUALA LA MUDA TU HIZO B26 TUTAZIONA ZIKIFANYA KAZI
Tukubali tu Mo anajua biashara na ndio maana ni tajiri, wewe huna hata genge wala tuta la mchicha hapo kwako unataka kubishana nae jitafakari.

Wakati Simba inawekwa sokoni ilikuwa ni timu kubwa kwa Tanzania ila sio Africa, timu iliwategemea akina Ndemla, Kichuya, Galas, Singano eti muifunge Al ahli, thubutu.

Hujawahi kuona mtu ananunua nyumba kuukuu anaikarabati inampa faida kuliko pesa aliyonunulia.

Au kununua basi bovu uklipimp likakulipa.

Mo ameipa thamani Simba ndio na kina GSM wakakurupuka usingizini

Bila Mo kuwekeza Simba Mbet na SportPesa wangetoa hela ndogo sana.

Hivi ligi imesimama mauzo ya bia kwenye baa yamepungua sana,watu wanaenda bar kumuona Sakho, Chama, boya Mugalu, babu Kagere na mgonjwa wa degedege Mayele

Ni sawa nakuchukua msichana kule sitimbi akiwa hajui kuvaa ukamleta mjini ukampiga sopsop akaja kuolewa na tajiri mmoja mkubwa.

Mnaoshangaa 26B za Mbet vs 20B za Mo hamjui biashara.

Kasomeni depreciation and appreciation
Kwa ufupi timu ilikuwa haina thamani ikitegemea hela za hisani za Hans Pope
 
Back
Top Bottom