Mo asituvuruge Pesa yote aliyotoa usajili msimu huu ilimnunua kipa 1 tu Ayoub

Mo asituvuruge Pesa yote aliyotoa usajili msimu huu ilimnunua kipa 1 tu Ayoub

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Licha ya kulalama. Mo aache kutuvuruga. Kwenye usajili wa msimu huu yeye kama yeye kasajili kipa tu ambaye ata hachezi. Aligoma kutoa pesa za usajili. Akina jaribu tena wakafumua zote kutoka CAF. Bilion 2.5.

Kuona usajili umekamilika bila kutia ela yoyote. Akaagiza akina jaribu tena wachukue mzungu moja ili ionekane na yeye kashiriki. Wakachukua mbrazili. Akakataliwa na tff kwani alitokea ligi za wilaya. Ndio wakachukua kipa aliyekuwa na mpango wa kutemwa ka uro 1.3 millioni ikiwa ni zaidi ya blillion 3.

Licha ya kuibeba simba sana ila msimu huu yeye ndio kazingua sana.

Upigaji huo umeacha wachezaji wakigawanyika na kushuhudia ubaguzi wa wazi wa rangi.

Screenshot_2023_1109_204335.png
 
Kwani nyie si ndio huwa mnashabikia wazungu mkuu? Imekuwaje tena kulalamikia mambo ya ubaguzi?
Hadi wimbo mlitunga!
 
We chawa wa lumumba unaongea nn?🤣😂
Subiri kukuche ukapike chai lumumba
 
Kuna chanzo cha uhakika kimeambiwa Muwekezaji hatoi hela ya usajili.

Muwekezaji ni Muhumi mno kwenye pesa.

Amewekeza jina tu pale msimbazi na pia ni mtu wa ingia toka.
Mleta mada bado anahamini eti MO anaweza kutoa bilion 3 kumsajili kipa[emoji23][emoji23][emoji23] kwa tetesi na ndio ukweli nmeambiwa kuwa kipa kaja free
 
Hapa ndipo unakuja kugundua umuhimu wa kuwa na watawala kama Makonda.

Mwenyekiti unakataa kujiuzulu,unapotezwa tu.Sijui Rage analeta usomali wake anatekwa na kuonywa asilete dharau kwa RAIA wa nchi hii.Mo alitakiwa kulazimishwa ama aachane na soka aende kufadhili chama chake cha siasa.

Simba inahitaji mwekezaji mwingine kama gsm sio muhuni bahili kama huyu mbwia unga

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hivi bado unaamini kwamba Mo anatoa pesa za usajili?

Mo anafanya biashara pale Simba na sio mdhamini.

Akiambiwa B 20 KAWEKA ACC GANI ?anaanza kulia Lia.
 
Hapa ndipo unakuja kugundua umuhimu wa kuwa na watawala kama Makonda.

Mwenyekiti unakataa kujiuzulu,unapotezwa tu.Sijui Rage analeta usomali wake anatekwa na kuonywa asilete dharau kwa RAIA wa nchi hii.Mo alitakiwa kulazimishwa ama aachane na soka aende kufadhili chama chake cha siasa.

Simba inahitaji mwekezaji mwingine kama gsm sio muhuni bahili kama huyu mbwia unga

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Duh! Makonda tena?
 
Back
Top Bottom