Mo Dewj mjanja Sana

Mo Dewj mjanja Sana

Huyu jamaa anajua namna ya kuwapiga chenga watu.

Jamaa hakuwa na mtaji wa kuingiza Simba SC kama mtaji. Kakabidhiwa timu kwa kauli ya mdomo. Katumia muda mfupi sana kuhakikisha pesa ambayo ingeingia klabuni Simba SC kama mapato ya klabu iwe pesa ya uwekezaji kutoka kwake.

Ndani ya miaka 4 mapato ya kimkataba na matangazo na pesa kutoka kafu (hapo sijazungumzia mirija mingine) leo hii limetengenezwa picha ionekane inatoka mfukoni mwa Jamaa. Nilitaarifiwa kuwa tangu jamaa aingie pale yeye alijipa mamlaka ya kumiliki password ya Bank Account ya klabu, bado sikuweza kuamini.

Hivi leo nimeamini kuwa posho ya miaka 4 minne aliyokuwa akilipa mishahara na usajili wa klabu kwa kipindi chote hiko ndio thamani halisi ya hisa asilimia 49% za klabu ya Mikia FC.

Amkeni mambumbumbu!

Kwa hayo aliyoyafanya timu imenufaika ama haijanufaika?
 
Sisi kama mashabiki tunachokitaka ni timu kushinda makombe ambayo yapo, wachezaji kulipwa mishahara ambapo hatujasikia hata mmoja akidai, timu kufanya vizuri kimataifa ambapo hakuna asiejua juu ya hili, hizo porojo nyingine tumewaachieni nyie uto, eti mnaibiwa na mo,, we usiebiwa pale utopoloni tuambie kwa mwezi unapokea sh ngapi?

Wameshupalia sana tunaibiwa tunaibiwa hata sijui tunaibiwa nini. Halafu toka lini Utopolo wakatuonea huruma Simba? Ya kwao yamewashinda kazi kushupalia yasiyowahusu.
 
Huyu jamaa anajua namna ya kuwapiga chenga watu.

Jamaa hakuwa na mtaji wa kuingiza Simba SC kama mtaji. Kakabidhiwa timu kwa kauli ya mdomo. Katumia muda mfupi sana kuhakikisha pesa ambayo ingeingia klabuni Simba SC kama mapato ya klabu iwe pesa ya uwekezaji kutoka kwake.

Ndani ya miaka 4 mapato ya kimkataba na matangazo na pesa kutoka kafu (hapo sijazungumzia mirija mingine) leo hii limetengenezwa picha ionekane inatoka mfukoni mwa Jamaa. Nilitaarifiwa kuwa tangu jamaa aingie pale yeye alijipa mamlaka ya kumiliki password ya Bank Account ya klabu, bado sikuweza kuamini.

Hivi leo nimeamini kuwa posho ya miaka 4 minne aliyokuwa akilipa mishahara na usajili wa klabu kwa kipindi chote hiko ndio thamani halisi ya hisa asilimia 49% za klabu ya Mikia FC.

Amkeni mambumbumbu!
Ungetuliza mshono kwa majibu ya mashabiki
 
Sisi kama mashabiki tunachokitaka ni timu kushinda makombe ambayo yapo, wachezaji kulipwa mishahara ambapo hatujasikia hata mmoja akidai, timu kufanya vizuri kimataifa ambapo hakuna asiejua juu ya hili, hizo porojo nyingine tumewaachieni nyie uto, eti mnaibiwa na mo,, we usiebiwa pale utopoloni tuambie kwa mwezi unapokea sh ngapi?
Ujengewe sanamu
 
Kwa kipindi chote alichotoa B21, klabu ya Simba imeingiza kiasi gani?

Zile fedha za kadi za mashabiki zilienda wapi?
Fedha za kadi kwa mwaka zinacover mishahara ya mwaka ya wachezaji wawili tu, vipi kuhusu 28 wengine?

Wanachama 15000 × Tsh.22000 = Tsh.330m

Kwa kifupi Mo alikuwa zaidi ya mdhamini, alikuwa mfadhili.
 
Huyu jamaa anajua namna ya kuwapiga chenga watu.

Jamaa hakuwa na mtaji wa kuingiza Simba SC kama mtaji. Kakabidhiwa timu kwa kauli ya mdomo. Katumia muda mfupi sana kuhakikisha pesa ambayo ingeingia klabuni Simba SC kama mapato ya klabu iwe pesa ya uwekezaji kutoka kwake.

Ndani ya miaka 4 mapato ya kimkataba na matangazo na pesa kutoka kafu (hapo sijazungumzia mirija mingine) leo hii limetengenezwa picha ionekane inatoka mfukoni mwa Jamaa. Nilitaarifiwa kuwa tangu jamaa aingie pale yeye alijipa mamlaka ya kumiliki password ya Bank Account ya klabu, bado sikuweza kuamini.

Hivi leo nimeamini kuwa posho ya miaka 4 minne aliyokuwa akilipa mishahara na usajili wa klabu kwa kipindi chote hiko ndio thamani halisi ya hisa asilimia 49% za klabu ya Mikia FC.

Amkeni mambumbumbu!
Na hata katika Medani za Ujasiriamali kuwa Samjo Samjo ( Mjanja Mjanja ) ni Sifa 'tukuka' mojawapo ya Kujipatia Faida zaidi.

Tena Mimi kama GENTAMYCINE naona Mo Dewji ametusamehe katika Kutuibia Simba SC kama wana Yanga SC wengi mnavyosema hivyo basi kwa haya Mafanikio makubwa aliyotupa Simba SC ndani ya hii Miaka Minne ( 4 ) namuomba sasa aanze 'Kutuibia' vile atakavyo.

Ila ahakikishe tu kuwa Simba SC inabeba tena Vikombe Msimu ujao na safari hii tufike Nusu Fainali ya CAF CL ili Msimu ujao ( Msimu Keshokutwa ) tutinge Fainali na ikiwezekana tuwe Mabingwa wa Afrika.
 
Huyu jamaa anajua namna ya kuwapiga chenga watu.

Jamaa hakuwa na mtaji wa kuingiza Simba SC kama mtaji. Kakabidhiwa timu kwa kauli ya mdomo. Katumia muda mfupi sana kuhakikisha pesa ambayo ingeingia klabuni Simba SC kama mapato ya klabu iwe pesa ya uwekezaji kutoka kwake.

Ndani ya miaka 4 mapato ya kimkataba na matangazo na pesa kutoka kafu (hapo sijazungumzia mirija mingine) leo hii limetengenezwa picha ionekane inatoka mfukoni mwa Jamaa. Nilitaarifiwa kuwa tangu jamaa aingie pale yeye alijipa mamlaka ya kumiliki password ya Bank Account ya klabu, bado sikuweza kuamini.

Hivi leo nimeamini kuwa posho ya miaka 4 minne aliyokuwa akilipa mishahara na usajili wa klabu kwa kipindi chote hiko ndio thamani halisi ya hisa asilimia 49% za klabu ya Mikia FC.

Amkeni mambumbumbu!
Nyani wa Utopolo mumeandamishwa kwenda kupokea wachezaji vimeo na kumbeba msomali lakini mnashindwa kuhoji ahadi ya ubingwa kupotea hewani lakini mko bize kubana pua kuhoji mambo ya Simba huo ni uchoko.
IMG-20210716-WA0009.jpg
 
Safi sana kwa jibu ulilompa hata yy akitaka aende pale awekeze aiibie club maana ukimuuliza katika club anayoishabikia hata kwa mwezi elfu moja anatoa?
Excellent! Wao wasioibiwa wa nini cha maana? Wamepata vikombe vingapi hadi sasa? Wanadaiwa kiasi gani na wachezaji (Bakuli FC)
 
Wanaomba leo kesho mo aondoke, walivyo wanafki wanajifanya kutengeneza vihoja vyao visivyo na mashiko mara ooh mo tapeli!! nk .. [emoji23][emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watulie dawa iwaingie
 
Back
Top Bottom