Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
aache shoBo
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hisia mhemuko ndo hizi
Kuna majitu huku hadi yanatia kinyaa kwa kujipendekezaHuu unafiki mkubwa..
Alikuepo hai wakati serikali inatafuta jina..
Iliwahi pendekezwa jina la Mkapa ..watu
Wakajibu Kwa kashfa sana..
Sasa keshakufa ndo muanze kumpa jina
Hata hatajua kumbe mlimpa heshima hiyo..
Huu ni unafiki mkubwa
Kuna vitu huwa vinapendeza vifanyike watu wakiwa hai. Hakuna jambo linalofurahisha kama kuona watu wanatambua juhudi au mchango wako na kuonesha appreciation wakati bado unaishi.
tulifanya makosa na tunatubu na hatutaki tena tukosee tunataka uitwe UWANJA WA MKAPA toshaHuu unafiki mkubwa..
Alikuepo hai wakati serikali inatafuta jina..
Iliwahi pendekezwa jina la Mkapa ..watu
Wakajibu Kwa kashfa sana..
Sasa keshakufa ndo muanze kumpa jina
Hata hatajua kumbe mlimpa heshima hiyo..
Huu ni unafiki mkubwa
Wanayeita kwa Mkapa hawana tofauti na wanaopaita kwa Mchina kwa kuwa majina haya yote ni ya kienyeji na sio yapo Kisheria(majina rasmi) jina rasmi la ule uwanja ni Uwanja wa Taifa.Kwani si ndiyo kunaitwa kwa Mkapa tokea zamani. Tena watu waliita kwa mchina,serikali ikawaambia unaitwa Mkapa.
tulifanya makosa na tunatubu na hatutaki tena tukosee tunataka uitwe UWANJA WA MKAPA tosha
Bora hata Mwakyembe alitoa hayo maoni Ben akiwa hai. Na kipindi hicho Mo wala hakutokea kusema na kuunga mkono hoja. Leo Ben kafa,Mo eti anatoa petition 😱Wanayeita kwa Mkapa hawana tofauti na wanaopaita kwa Mchina kwa kuwa majina haya yote ni ya kienyeji na sio yapo Kisheria(majina rasmi) jina rasmi la ule uwanja ni Uwanja wa Taifa.
Aliyetoa jina la kwa Mkapa ni Maoni binafsi ya Dr. Mwakyembe.
unachanganya hasira na na kutokuelewa mambo, au binadamu mwanadamu mtu ni vitu vinavyokuchanganya sana??Yeye aligoma akiwa hai maana alijua fika ni kodi za wananchi, huku rais akiwa si mlipa kodi. Wekeni basi na picha ya Magufuli kwenye noti, maana Mkapa ndio rais wa kwanza kugoma kuweka picha yake kwenye fedha za nchi, ili muwe hamjakosea. Watu tunajitahidi kutoka kwenye kusifia watu, twende kwenye sifa za kitaasisi, nyie mnaturudisha kwenye sifa za watu. Hizi ndio tabia zitafanya viongozi wakae madarakani kwa lazima, ili majina yao yatapakae kwenye miradi ya umma. Shubamiit. Siku ikitokea uchafu wao ikataka kuitwa majina yao msikasirike.
unachanganya hasira na na kutokuelewa mambo, au binadamu mwanadamu mtu ni vitu vinavyokuchanganya sana??
Kwani si ndiyo kunaitwa kwa Mkapa tokea zamani. Tena watu waliita kwa mchina,serikali ikawaambia unaitwa Mkapa.
Kuna ushujaa gani katika uamuzi huo? Ulikuwa uamuzi mzuri na wa busara, lakini sidhani kama ulikuwa wa kishujaa. Ungekuwa wa kishujaa kama yeye au nchi ingeweza kuathirika kwa namna mmoja kutokana na uamuzi huo au ulikuwa unapingwa na wenye mamlaka wengine lakini akaendelea tu. Haikuwa hivyo.Naunga mkono hoja.
Ule ulikuwa ni uamuzi wa kishujaa ambao rais Benjamin Mkapa aliufanya kwa manufaa ya Taifa