Mo Dewji acha kuivuruga Simba. Hiyo ni Klabu ya wanachama, hautafanikiwa kwa lolote

Mo Dewji acha kuivuruga Simba. Hiyo ni Klabu ya wanachama, hautafanikiwa kwa lolote

Simba ya sasa mirija imekatwa tutegemee chokochoko sana.
Zamani fedha walikuwa wanagawana viongozi na wapambe wao wachezaji wanapata kiduchu mashabiki na wanachama hawapati fedha wala furaha sasa hivi wachezaji wanapata fedha na mashabiki wanapata furaha, uwanja umejengwa, klabu ina endelea vizuri.
Niendelee kuwakumbusha wanaSimba hizi chokochoko lazima ziendelee wanachama wenye njaa na baadhi ya vyombo vya habari vitaendeleza sana chokochoko.
Tafuteni kazi nyingine Simba ya sasa msitegemee kama itaingia kwenye mgogoro hizo zama zilishaisha.
You are very right mirija imejatwa wajanja wajanja wote watatoka nduki
 
Wewe hujui lolote kuhusu simba. Huyo mkwabi unayemtaka ni mpigaji tu amekuta hakuna alichotegemea kupata kasepa mapema.
 
Hapa katikakati umemlazimsha mkwambi aliyechaguliwa na wanachama ajiuzulu ili mipango yako ovu ya kujimilikisha Simba ikamilike
Kumbuka mkwambi amechaguliwa na wanachama wewe unamfukuza kazi umekuwa nani? Mwenye uwezo wa kumfukuza kazi Nkwabi ni wapiga kura na si vinginevyo nakuhakikishia hautafanikiwa

Sisi tunamtambua Nkwabi kama Mwenyekiti wa Simba na kama utaamua kutumia vibaraka wako kumwondoa Nkwabi jiandae kukwama utaikimbia club utaicha kama ulivyoikuta


Unataka uitishe uchaguzi kihuni uweke kibaraka wako ili ujimilikshie Simba kinyume cha sheria hautafanikiwa Mzee

Hata mbinu yako ya kuajiri watu kutoka nje tunajua ni mipango yako ya kuondoa Watanzania kwenye uongozi ili ufanikishe malengo yako maovu ya kitwaa club chetu


Tunajua mipango yote mnayopanga nyuma ya pazia but hautafanikiwa Simba haiwezi kumilikiwa na wewe wala yeyote

Unanufaika na club kwa kutangaza biashara zako lakini club haina chochote

Tulikuuluza Simba ilifika Robo fainali ligi ya mabingwa mwaka huu kwanini zile pesa ulijimilikisha kwenye account yako?
Hatujui pia mapato ya viingilio mechi za champion ligi yaliishia wapi

Miaka mitatu umeingia mkataba wa kutangaza bidhaa zako kwa kuahidi kujenga uwanja wa mazoezi wa Simba lakini wewe unadanganya mashabiki mbumbumbu kuwa unajenga bure uwanja wa mazoezi

Usione kina Mzee kilomoni wametulia ukadhani umefanikiwa kuwaondoa kwenye mfumo .ogapa Maji yaliyotulia

Hata hili la Nkwabi kumfukuza uenyekiti ulete kibaraka chako kingine

Simba haitabadilika we endelea kucheza serakasi zisizo na kichwa wala miguu

Hapo hata fees ya watoto wako unashindwa kulipa, mashabiki tunataka furaha tu hata kama timu inaenda kwa MO au kwa Akilimali as long as timu inafanya vizuri hatuna shida,
 
Mwenzako kakimbia alifikiri akiwa mwenyekiti atapiga zile za mirija, alivyoona mirija imekatwa akaona bora arudi kulima tembele..
Hii ndio Simba tunayoitaka sasa we endelea kujaza seva za jf uache kufanya kazi ukitegemea utauona mrija Simba..
 
Kwanini msiseme ukweli tu mnahangaika kuzusha uongo. Nkwabi akatae akubali yeye ndie aliyekuwa anamsapoti Kilomoni na genge lao kuleta vurugu Simba viongozi wenzake wakamshtukia. Mpango wao ulipofeli baada ya waziri kuweka mambo sawa kuhusu uwekezaji Nkwabi kasubiri mambo yamepoa na nafsi ikamsuta katoka mbio. Na bado watakimbia wenyewe Simba waliokuwa wameigeuza hii timu ATM. Kwa Mo hakuna pesa isiyokuwa na maandishi. Hizo habari sijui kuna pesa za CAF na za milangoni hayo mambo ya kizamani wakati timu zinaposomewa mapato na matumizi ukumbini wakati hata ripoti haijulikani katengeneza nani na si ajabu viongozi hao hao wanaisoma ndio wanakuwa wameitengeneza.

Sasa hivi Simba ni kampuni subirini Audited Report (ripoti ya ukaguzi wa fedha) mwisho wa mwaka ambayo kwa sheria za nchi lazima ifanywe na kampuni inayotambulika na iliyosajiliwa na mamlaka za serikali ndio mleta hoja zenu kama kuna kifungu cha pesa hakina vielelezo.
 
Bahresa kaanzisha Azam FC na pana fununu Diamond anataka kuanzia Wasafi FC. Huyu mdosi anapiga hapohapo tu mpaka wamtambue.
 
mbona miandiko ni mingi kwenye makala moja?
Hapa katikakati umemlazimsha mkwambi aliyechaguliwa na wanachama ajiuzulu ili mipango yako ovu ya kujimilikisha Simba ikamilike
Kumbuka mkwambi amechaguliwa na wanachama wewe unamfukuza kazi umekuwa nani? Mwenye uwezo wa kumfukuza kazi Nkwabi ni wapiga kura na si vinginevyo nakuhakikishia hautafanikiwa

Sisi tunamtambua Nkwabi kama Mwenyekiti wa Simba na kama utaamua kutumia vibaraka wako kumwondoa Nkwabi jiandae kukwama utaikimbia club utaicha kama ulivyoikuta


Unataka uitishe uchaguzi kihuni uweke kibaraka wako ili ujimilikshie Simba kinyume cha sheria hautafanikiwa Mzee

Hata mbinu yako ya kuajiri watu kutoka nje tunajua ni mipango yako ya kuondoa Watanzania kwenye uongozi ili ufanikishe malengo yako maovu ya kitwaa club chetu


Tunajua mipango yote mnayopanga nyuma ya pazia but hautafanikiwa Simba haiwezi kumilikiwa na wewe wala yeyote

Unanufaika na club kwa kutangaza biashara zako lakini club haina chochote

Tulikuuluza Simba ilifika Robo fainali ligi ya mabingwa mwaka huu kwanini zile pesa ulijimilikisha kwenye account yako?
Hatujui pia mapato ya viingilio mechi za champion ligi yaliishia wapi

Miaka mitatu umeingia mkataba wa kutangaza bidhaa zako kwa kuahidi kujenga uwanja wa mazoezi wa Simba lakini wewe unadanganya mashabiki mbumbumbu kuwa unajenga bure uwanja wa mazoezi

Usione kina Mzee kilomoni wametulia ukadhani umefanikiwa kuwaondoa kwenye mfumo .ogapa Maji yaliyotulia

Hata hili la Nkwabi kumfukuza uenyekiti ulete kibaraka chako kingine

Simba haitabadilika we endelea kucheza serakasi zisizo na kichwa wala miguu
 
Bora alivyo waondoa Watanzania na kuleta wangeni, wabongo maneno mengi utendaji kazi hakuna, mnawaza kuiba tu, wacha Mo aendeshe club...

Hiyo club ukimpa mzee Kilomoni ataweza kuiendesha hata kwa siku tatu??? Mirija imekatwa mnaanza kulilia
Naona unamtetea Kinjibai mwenzako
 
Mkwabi hajaandika barua ya kijiudhuru
Isipokuwa genge la mo ndio wamemtangazia mkwabi kijiudhuru tuwe makini Simba inachukuliwa jumla
 
Mo anajibinafsisha simba wakati ni timu iliyojengwa kwa nguvu za mababu zetu kwa miaka mingi na wanachama tunaangalia tu tunadanganywa kwa kuletewa wabrazil uchwara wana simba wenzangu amkeni
Simba ni klabu ya wahindi tangia hatujapata uhuru.

Yanga ndio iliasisiwa kama klabu ya waafrika ( wananchi)
 
Kwangu Mimi mwasimba sioni faida yoyote kuendelea na mfumo wa kijima..yaani ikiwezekana Mo achukue jumla 100 asilimia 100..kuliko nyie matapeli yanayotegemea viingilo kuishi..
 
Hakuna timu ya wahindi tanzania sio simba wala yanga tusidanganyane. Ila mo si muda mrefu atapata anachokitafuta. Na kama timu ni ya waindi mbona ku kipindi wahindi wanakaaga pembeni timu inabaki na wazawa wakina mzee akilimali
 
Hakuna timu ya wahindi tanzania sio simba wala yanga tusidanganyane. Ila mo si muda mrefu atapata anachokitafuta. Na kama timu ni ya waindi mbona ku kipindi wahindi wanakaaga pembeni timu inabaki na wazawa wakina mzee akilimali
Yaani unataka timu zetu ziendelee kuongozwa kizamani. Usipumbazwe na hao wajanja wa mjini labda huwajui
 
Hapa katikakati umemlazimsha mkwambi aliyechaguliwa na wanachama ajiuzulu ili mipango yako ovu ya kujimilikisha Simba ikamilike
Kumbuka mkwambi amechaguliwa na wanachama wewe unamfukuza kazi umekuwa nani? Mwenye uwezo wa kumfukuza kazi Nkwabi ni wapiga kura na si vinginevyo nakuhakikishia hautafanikiwa

Sisi tunamtambua Nkwabi kama Mwenyekiti wa Simba na kama utaamua kutumia vibaraka wako kumwondoa Nkwabi jiandae kukwama utaikimbia club utaicha kama ulivyoikuta


Unataka uitishe uchaguzi kihuni uweke kibaraka wako ili ujimilikshie Simba kinyume cha sheria hautafanikiwa Mzee

Hata mbinu yako ya kuajiri watu kutoka nje tunajua ni mipango yako ya kuondoa Watanzania kwenye uongozi ili ufanikishe malengo yako maovu ya kitwaa club chetu


Tunajua mipango yote mnayopanga nyuma ya pazia but hautafanikiwa Simba haiwezi kumilikiwa na wewe wala yeyote

Unanufaika na club kwa kutangaza biashara zako lakini club haina chochote

Tulikuuluza Simba ilifika Robo fainali ligi ya mabingwa mwaka huu kwanini zile pesa ulijimilikisha kwenye account yako?
Hatujui pia mapato ya viingilio mechi za champion ligi yaliishia wapi

Miaka mitatu umeingia mkataba wa kutangaza bidhaa zako kwa kuahidi kujenga uwanja wa mazoezi wa Simba lakini wewe unadanganya mashabiki mbumbumbu kuwa unajenga bure uwanja wa mazoezi

Usione kina Mzee kilomoni wametulia ukadhani umefanikiwa kuwaondoa kwenye mfumo .ogapa Maji yaliyotulia

Hata hili la Nkwabi kumfukuza uenyekiti ulete kibaraka chako kingine

Simba haitabadilika we endelea kucheza serakasi zisizo na kichwa wala miguu
kazi yako mshabiki ni kushangilia kuzomea basi, kama umenyimwa ulaji acha kulalamika
 
😂😂😂😂😂😂😂😂 Mkuu njaa inakupeleka kubaya
 
Back
Top Bottom