Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
MO anatuharibia timu yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are very right mirija imejatwa wajanja wajanja wote watatoka ndukiSimba ya sasa mirija imekatwa tutegemee chokochoko sana.
Zamani fedha walikuwa wanagawana viongozi na wapambe wao wachezaji wanapata kiduchu mashabiki na wanachama hawapati fedha wala furaha sasa hivi wachezaji wanapata fedha na mashabiki wanapata furaha, uwanja umejengwa, klabu ina endelea vizuri.
Niendelee kuwakumbusha wanaSimba hizi chokochoko lazima ziendelee wanachama wenye njaa na baadhi ya vyombo vya habari vitaendeleza sana chokochoko.
Tafuteni kazi nyingine Simba ya sasa msitegemee kama itaingia kwenye mgogoro hizo zama zilishaisha.
Hapa katikakati umemlazimsha mkwambi aliyechaguliwa na wanachama ajiuzulu ili mipango yako ovu ya kujimilikisha Simba ikamilike
Kumbuka mkwambi amechaguliwa na wanachama wewe unamfukuza kazi umekuwa nani? Mwenye uwezo wa kumfukuza kazi Nkwabi ni wapiga kura na si vinginevyo nakuhakikishia hautafanikiwa
Sisi tunamtambua Nkwabi kama Mwenyekiti wa Simba na kama utaamua kutumia vibaraka wako kumwondoa Nkwabi jiandae kukwama utaikimbia club utaicha kama ulivyoikuta
Unataka uitishe uchaguzi kihuni uweke kibaraka wako ili ujimilikshie Simba kinyume cha sheria hautafanikiwa Mzee
Hata mbinu yako ya kuajiri watu kutoka nje tunajua ni mipango yako ya kuondoa Watanzania kwenye uongozi ili ufanikishe malengo yako maovu ya kitwaa club chetu
Tunajua mipango yote mnayopanga nyuma ya pazia but hautafanikiwa Simba haiwezi kumilikiwa na wewe wala yeyote
Unanufaika na club kwa kutangaza biashara zako lakini club haina chochote
Tulikuuluza Simba ilifika Robo fainali ligi ya mabingwa mwaka huu kwanini zile pesa ulijimilikisha kwenye account yako?
Hatujui pia mapato ya viingilio mechi za champion ligi yaliishia wapi
Miaka mitatu umeingia mkataba wa kutangaza bidhaa zako kwa kuahidi kujenga uwanja wa mazoezi wa Simba lakini wewe unadanganya mashabiki mbumbumbu kuwa unajenga bure uwanja wa mazoezi
Usione kina Mzee kilomoni wametulia ukadhani umefanikiwa kuwaondoa kwenye mfumo .ogapa Maji yaliyotulia
Hata hili la Nkwabi kumfukuza uenyekiti ulete kibaraka chako kingine
Simba haitabadilika we endelea kucheza serakasi zisizo na kichwa wala miguu
Hapa katikakati umemlazimsha mkwambi aliyechaguliwa na wanachama ajiuzulu ili mipango yako ovu ya kujimilikisha Simba ikamilike
Kumbuka mkwambi amechaguliwa na wanachama wewe unamfukuza kazi umekuwa nani? Mwenye uwezo wa kumfukuza kazi Nkwabi ni wapiga kura na si vinginevyo nakuhakikishia hautafanikiwa
Sisi tunamtambua Nkwabi kama Mwenyekiti wa Simba na kama utaamua kutumia vibaraka wako kumwondoa Nkwabi jiandae kukwama utaikimbia club utaicha kama ulivyoikuta
Unataka uitishe uchaguzi kihuni uweke kibaraka wako ili ujimilikshie Simba kinyume cha sheria hautafanikiwa Mzee
Hata mbinu yako ya kuajiri watu kutoka nje tunajua ni mipango yako ya kuondoa Watanzania kwenye uongozi ili ufanikishe malengo yako maovu ya kitwaa club chetu
Tunajua mipango yote mnayopanga nyuma ya pazia but hautafanikiwa Simba haiwezi kumilikiwa na wewe wala yeyote
Unanufaika na club kwa kutangaza biashara zako lakini club haina chochote
Tulikuuluza Simba ilifika Robo fainali ligi ya mabingwa mwaka huu kwanini zile pesa ulijimilikisha kwenye account yako?
Hatujui pia mapato ya viingilio mechi za champion ligi yaliishia wapi
Miaka mitatu umeingia mkataba wa kutangaza bidhaa zako kwa kuahidi kujenga uwanja wa mazoezi wa Simba lakini wewe unadanganya mashabiki mbumbumbu kuwa unajenga bure uwanja wa mazoezi
Usione kina Mzee kilomoni wametulia ukadhani umefanikiwa kuwaondoa kwenye mfumo .ogapa Maji yaliyotulia
Hata hili la Nkwabi kumfukuza uenyekiti ulete kibaraka chako kingine
Simba haitabadilika we endelea kucheza serakasi zisizo na kichwa wala miguu
Naona unamtetea Kinjibai mwenzakoBora alivyo waondoa Watanzania na kuleta wangeni, wabongo maneno mengi utendaji kazi hakuna, mnawaza kuiba tu, wacha Mo aendeshe club...
Hiyo club ukimpa mzee Kilomoni ataweza kuiendesha hata kwa siku tatu??? Mirija imekatwa mnaanza kulilia
Kwani MO anaweza kuiendesha?!!Tukikupa club utaweza kuiendesha
Simba ni klabu ya wahindi tangia hatujapata uhuru.Mo anajibinafsisha simba wakati ni timu iliyojengwa kwa nguvu za mababu zetu kwa miaka mingi na wanachama tunaangalia tu tunadanganywa kwa kuletewa wabrazil uchwara wana simba wenzangu amkeni
Yaani unataka timu zetu ziendelee kuongozwa kizamani. Usipumbazwe na hao wajanja wa mjini labda huwajuiHakuna timu ya wahindi tanzania sio simba wala yanga tusidanganyane. Ila mo si muda mrefu atapata anachokitafuta. Na kama timu ni ya waindi mbona ku kipindi wahindi wanakaaga pembeni timu inabaki na wazawa wakina mzee akilimali
kazi yako mshabiki ni kushangilia kuzomea basi, kama umenyimwa ulaji acha kulalamikaHapa katikakati umemlazimsha mkwambi aliyechaguliwa na wanachama ajiuzulu ili mipango yako ovu ya kujimilikisha Simba ikamilike
Kumbuka mkwambi amechaguliwa na wanachama wewe unamfukuza kazi umekuwa nani? Mwenye uwezo wa kumfukuza kazi Nkwabi ni wapiga kura na si vinginevyo nakuhakikishia hautafanikiwa
Sisi tunamtambua Nkwabi kama Mwenyekiti wa Simba na kama utaamua kutumia vibaraka wako kumwondoa Nkwabi jiandae kukwama utaikimbia club utaicha kama ulivyoikuta
Unataka uitishe uchaguzi kihuni uweke kibaraka wako ili ujimilikshie Simba kinyume cha sheria hautafanikiwa Mzee
Hata mbinu yako ya kuajiri watu kutoka nje tunajua ni mipango yako ya kuondoa Watanzania kwenye uongozi ili ufanikishe malengo yako maovu ya kitwaa club chetu
Tunajua mipango yote mnayopanga nyuma ya pazia but hautafanikiwa Simba haiwezi kumilikiwa na wewe wala yeyote
Unanufaika na club kwa kutangaza biashara zako lakini club haina chochote
Tulikuuluza Simba ilifika Robo fainali ligi ya mabingwa mwaka huu kwanini zile pesa ulijimilikisha kwenye account yako?
Hatujui pia mapato ya viingilio mechi za champion ligi yaliishia wapi
Miaka mitatu umeingia mkataba wa kutangaza bidhaa zako kwa kuahidi kujenga uwanja wa mazoezi wa Simba lakini wewe unadanganya mashabiki mbumbumbu kuwa unajenga bure uwanja wa mazoezi
Usione kina Mzee kilomoni wametulia ukadhani umefanikiwa kuwaondoa kwenye mfumo .ogapa Maji yaliyotulia
Hata hili la Nkwabi kumfukuza uenyekiti ulete kibaraka chako kingine
Simba haitabadilika we endelea kucheza serakasi zisizo na kichwa wala miguu