Mo Dewji acha kuivuruga Simba. Hiyo ni Klabu ya wanachama, hautafanikiwa kwa lolote

Mo Dewji yuko sahihi afumue mizizi za Kinazi zote za Wazawa hapo Simba Sport Club, Simba itakuwa Timu kubwa sana baadae
 
Wenzako wako ndola mida hii ww unabweka bweka huku kwa wanaume
 
mkwabi kumbe na ww upo jf? Id yako ngumu bana badil
 
Mkwabi hajaandika barua ya kijiudhuru
Isipokuwa genge la mo ndio wamemtangazia mkwabi kijiudhuru tuwe makini Simba inachukuliwa jumla
Nilichosangaa ni ki vipi mwenyekiti aliyechaguliwa kwa kura kuandika barua kwa bodi kuitaarifu kujiuzuru nafasi hiyo!
 
Weka wazi hio mipango yao hapa , la sivyo tutajua na wewe ni wale vibaraka mirija yao ya kupatia pesa imekatwa...
 
BMT usimamizi wenu kwenye soka sijawahi kuona uwajibikaji wenu hata siku moja yaani mmelala usingizi wa pono na mnashindwa hata kuwawajibisha walio chini yenu, yaani Karia ana nguvu kuliko Tenga! !
 
Uliona mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…