Mo Dewji afikisha wafuasi milioni 1 Twitter na kutangaza kutoa milioni 1 kwa post yoyote itayopata retweet nyingi

Mo Dewji afikisha wafuasi milioni 1 Twitter na kutangaza kutoa milioni 1 kwa post yoyote itayopata retweet nyingi

Kuna demu alishinda tv ya pepsi.
Ila siku ya zawadi mshkaji ndio akaenda, akajifanya dada yake anaumwa.
Kule twitter kuna maparody kibao
 
Mo anawachora tu nyie mmletee tu idea zenu za mawazo mkashangaa fursa zenu kageuza zake🤦😆😀🤣
 
Hii vita wapwa wanashinda maana wapo wengi sana halafu wanapeana support
Kuna mabroo hao ndio wanajifanya wenye hela.

Kuna wapwa, hawa ni choka mbaya.

Sasa hii 1M ya Mo imewakutanisha mabroo na wapwa wote wanaomba retweet na like. Kwenye page ya Mo imekua ni battleground mpya.
 
Wakuu gusa link hiyo ili uniwezeshe nishinde hiyo milioni moja (1) toka twa Mo Dewji.

Hakisha una RETWEET

Asante


Shehe acheni upumbavu mnatuaibisha sisi waislamu.
Mazulia ni jambo la kumuomba Mo-kweli?
Sisi watu wa Mbagala kwa mbiku, Maliasili, chamazi, kiburugwa, kibonde maji, mkunguni, mwembe-mdogo tunakula starehe kila siku, baa tunjaza sisi, night club sisi, gest kila siku vyumba vimejaa tunapiga starehe alafu suala la ALAH HATUNA HELA MPAKA TUMUOMBE MO?
hu ni wendawazimu na tafadhali moo popote ulipo usitusaidie, utatulemaza, hela tunazo tatizo ni uongozi wa hizi misikiti.

Hela za kujaza gesti mchana tunazo ila zulia hatuna,
 
Back
Top Bottom