Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaaa. Ni bora ukaamini hivyo tu Mtani.Bora wasiotoa? Kweli nimeamini kuwa Kati ya Yanga wote ni Mzee Akilimali pekee ndiye mwenye akili.
Kwani kwangu naona ni bora asiyetoa kuliko anayetoa ahadi na kuibadilisha baada ya mifuko yake kunona.