Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Mo Dewji akana kujiuzulu Uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kubakia kuwa Mwekezaji

Status
Not open for further replies.
“Kilichotokea kwenye akaunti zangu jana kilikuwa ni bahati mbaya, tuko pamoja, tunarudi kwenye ligi tukiwa na nguvu , tunajipanga kwa ajili ya ligi, nawapongeza Mtibwa kwa kuchukua kombe, mimi ni Simba damudamu, nitabaki kuwa Simba" - MO DEWJI

Sent using Jamii Forums mobile app
.......baada ya kupigwa mkwara na Bashite!!
 
Beira Boy, Real Madrid timu ya wananchi inaendeshwa na wanachama. Perez pale amechaguliwa na mkutano mkuu kuwa Rais.

Simba na Yanga wanakwama wapi. Mbona wananchi kwa pamoja wanayo pesa nyingi kuliko za Mo na Gsm. Kila mwanachama na shabiki wa hizi timu kila mwezi akachangia timu yake 3,000 ni zaidi ya bilioni 20 kwa mwezi.

Michango hii kwa mwaka hizi club zinauwezo wa kujenga viwanja, kulipa mishahara, kununua ndege binafsi ya club.

Mimi siwalaumu Mo wala Gsm nawalaumu wanachama na mashabiki wa hizi club simba na Yanga pamoja na viongozi wao wameshindwa kuziendesha hizi club.

Sent using Cash Money Wings

Sent using Cash Money Wings
 
.......baada ya kupigwa mkwara na Bashite!!
Yaani nilivyoona tu huu ujumbe, nikajua tu atalazimishwa arejee nafasi yake.
Screenshot_20200114-122508.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom