Mo Dewji ameonyesha sura yake halisi,wanasimba tutarajie u-Dictator Mo akishakabidhiwa Hisa

Badilikeni sasa hivi timu itaongozwa kwa mujibu wa business plan sio bla bla za vijiweni.
 
Ni hivi , Mo baada ya " kuuziwa " Simba anataka kuweka watu wake kuanzia makocha , wachezaji pamoja na viongozi .
 
Hujui uchungu wa hela wewe, nunua na wewe hisa hata Maji maji Fc halaf uwe unawachekea makocha na wafanyakazi
 
Yaani tim ya simba ikifungwa kocha anafukuzwa, daa kazi kweli kweli!
 
Hiyo inaitwa B2B hakuna masihara. If you can work resign and let others take control seat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…