Mo Dewji ampiga kijembe Msemaji wa Simba sc

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Mara baada ya msemaji wa simba sc kutoa kauli tata bosi wa klabu hio Tajiri kijana bwana Mo Dewji kupitia platform yake ya Facebook na Instagram amempiga kijembe cha kiaina msemaji huyo anayesifika kwa kuropoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa sidhani kama hata Manara ameelewa
 
Ukiwa na pesa aisee hukosei...ahaa. ila alichotaka kusema kwa mawazo yangu ni kwamba "Kuwa mwangalifu saana na watu ambao wanakwepa wajibu wao kwa kile wanachotakiwa kuwajibika (majukumu yao)..kwangu mimi hii kauli nadhani ili walenga saana wachezaji wa simba kwa vitendo vya "kipuuzi" walivyofanya baadhi yao ..kama kutoroka kambini kabla ya mchezo wa nusu fainali ya sports pesa na aina ya mchezo walioonyesha baadhi yao kwenye mechi hiyo ya nusu fainali...hata kama Sportspesa haikuwa kipaumbele kwa Club lakini kwa wachezaji walitakiwa kuchukulia michezo ile kama nafasi ya nadra saana kuweza kujitangaza kwa kuonyesha viwango vyao pia walitakiwa kuonyesha tabia njema nje na ndani ya uwanja....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…