Mo Dewji amshauri Kocha Omog aachie ngazi, Simba yavunja naye Mkataba

Achana na mnyama. Kule Jangwani mnakoendeshwa kisanyansi kuna nini cha maana?
Nono no no
Saidia kupata suluhu msimbazi
Toa mawazo mapendekezo na maoni ya kujenga kwa masilahi ya simba kama mpenzi wa simba
Ndo sasa uulize habarri za jangwani .
 
Inatakiwa mkae mezani mjadiliane sio kukimbilia mitandaoni tu.
Kujiuzuru ni kuvunja mkataba ina maana inakula kwake. Bosi Mo ampe stahiki zake ili ajiondokee awaachie litimu lenu butu mlilosajili kwa majina bila weredi.
HIVI NANI ANAONGOZA LIGI VILEEE??
 


Simba bwana mnachekesha sana maana kwa kipigo cha juzi tu mumeaza kuvurugana. Haya yetu macho Yanga mbele kwa mbele
 
Simba bwana mnachekesha sana maana kwa kipigo cha juzi tu mumeaza kuvurugana. Haya yetu macho Yanga mbele kwa mbele
Manara hata akijitutumua ni mtoto wa Jangwani.
Makuzi yake ni Yanga mtoto wa Compyuta Sunday Manara!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…