Kijana wa 2023 unawaza ushirikina!Dah, Mzee Mpili akiiona hii atawaroga...!
Natamani angelimualika pia kwenye ligi ya NBC agundue jinsi waamuzi walivyo weledi lakini chaajabu hawapangwi kuchezesha ligi ya mabingwa Africa, CAFMuwekezaji wa Simba Mohamed Dewji ameshare picha ya pamoja katika mtandao wa twitter akiwa pamoja na raisi wa FIFA Giani Infantinno huku ikisemekana kuwa Rais huyo wa shirikisho la soka duniani FIFA ndie mgeni rasmi katika mechi itakayo chezwa tarehe 20 Jumamosi kati ya Simba na Al Ahly super league.
SIMBA NGUVU MOJA
[emoji123]View attachment 2782913
Kwa akili yako una amni Rais wa FIFA kaletwa na Mo?Miaka 10 ijayo msemaji wa uto atawajaza ujinga mashabiki wao kuwa rais wa FIFA hajawahi kukanyaga lupaso kuangalia ball. Kama wanavyojizima data leo hii eti wao ndo wa kwanza kuvaa medali za caf wakati Simba washavaa miaka 30 nyuma huko.
Soma vizuri wapi nimeandika kaletwa na Mo? Unawashwa? Hao ni delegation ya FIFA n CAFKwa akili yako una amni Rais wa FIFA kalewa na Mo?
Watoto wa kiume mmeharibika siku hizi sijui mnakula nini unauliza mwanaume mwenzako eti una washwa?Soma vizuri wapi nimeandika kaletwa na Mo? Unawashwa? Hao ni delegation ya FIFA n CAF
Peleka uko. Wapi nimeandika Mo kama sio kuwashwa nn?Watoto wa kiume mmeharibika siku hizi sijui mnakula nini unauliza mwanaume mwenzako eti una washwa?
FIFA waje wakute pira butuabutua ni aibuSiku hiyo ndio tupige lile pira letu la zamani, PIRA BIRIANI, sio pira letu la siku hizi, PIRA KITANDA HAKIZAI HARAMU
Sasa kuwashwa kwako kumefikaje hapa?Peleka uko. Wapi nimeandika Mo kama sio kuwashwa nn?
Kalewa ndo niniKwa akili yako una amni Rais wa FIFA kalewa na Mo?
Usicho kielewa una achana nachoKalewa ndo nini