Mo Dewji amualika Rais wa FIFA kwenye mechi ya Simba SC na Al Ahly

Wakuu mbona mnapigana spana wenyewe kwa wenyewe haina haja ya kugombana mpira sio vita.
 
wanamlipia nauli au anakuja kwa hela yake?
 
Uto hapo lile donda ndugu limewachoma hapo wanatamani wazibe masikio wasi sikie na macho ili wasione.
 
Mweeh yaani rais aache mech muhimu mamelod sundown vs Al ahaly aje kuangalia uozo huu
 
Wewe kichwani zinakutosha kweli? Yani Mwamedi ndio kamualika Rais wa Fifa?

Yani hujui kama CAF ndio mwanachama wa FIFA?

Ficha upumbavu wako.
 
Wewe kichwani zinakutosha kweli? Yani Mwamedi ndio kamualikabRais wa Fifa?

Yani hujui kama CAF ndio mwanachama wa FIFA?

Ficha upumbavu wako.

Heading imekosewa acha ujuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…