akiwekeza watamfukuza simba, simba is his reputation, his legacy, his respect in this country, akitoka hapo ni mjinga mjinga tu kama wengine wengi. bongo watu awakupi heshima kama huna la maana zaidi ya pesa, hata uwe billgates unaonekana fala tu, kwa watu, ukisema mimi tajiri watu wanasema so??