NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Maoni Yangu: Mkiambiwa hii timu siyo yenu mnakuja juu, haya sasa hamna cha kumfanyia Mo dewji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi imeniuma sana Maana mimi mwenyewe ni simba Die Hard fans kabisa..Ngoja makolo waje na mapovu🤔
Ukinunua kitu ni Mali yako...Kwa hiyo anaona Simba saiv kama ni yake ya
Mie namsubiri mh kingwangalaaya sasaaaaa wazee wa simba damu waje waoNe hii
😂😂 ila mo ni muhuni sana aisee anawatoa kwenye reli wenzieMie namsubiri mh kingwangala
Wahindi huwa wanawajuilia sana waswahili ...na simba huwa wanajionaga na akili sana😂😂 ila mo ni muhuni sana aisee anawatoa kwenye reli wenzie
HahahahahahaH.K atakua anaandika anafuta huko
Na hivi anajua kuandika gazzete 😅😅H.K atakua anaandika anafuta huko