Nzagambaaa
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,135
- 1,826
Mhindi so mtu🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kainunuaSi wanasema ni hisa tu 49%? Kumbe alisha nunua?
Ilishauzwa Simba ni ya Tajiri Mo Dewji,
Kuna watu wengi (kumbe hata humu wapo) hawajui maana ya hisa! Wanafikiri mwana hisa ni sawa na mdhamini!Naona ni sawa tu kusema ameinunua maana shares zake ni 49%. Maamuzi anayo yeye
Taharuki kwa wasiojua maana ya hisa, kwa ufupi wajinga. Nimeona hata JF kuna wajinga wa kutoshaIlikuwa ni swala la umoja kuelekea mechi ya jumamosi lakini alichokifanya ni kuleta taharuki ndani ya Simba.
Ulikuwa hujui hisa? Jitahidini mpate hata walau elimu za SACCOS zinavyoendeshwa. Mwenye hisa ni mmiliki halali kabisaIlishauzwa Simba ni ya Tajiri Mo Dewji,
Ndio nimesema alikwisha uziwa mapema sana,Ulikuwa hujui hisa? Jitahidini mpate hata walau elimu za SACCOS zinavyoendeshwa. Mwenye hisa ni mmiliki halali kabisa
Ndio nasema umechelewa kujua kwa kutojua maana ya hisaNdio nimesema alikwisha uziwa mapema sana,
Ndio nimesema Mangungu hajawahi kusema hivyoNdio nasema umechelewa kujua kwa kutojua maana ya hisa
Ulikuwa unasubiri Mangungu aseme nini zaidi ya biashara ilichosema? Au pia huamini kuwa Mayele ameuzwa hadi utangaziwe?Ndio nimesema Mangungu hajawahi kusema hivyo
Mangungu hajasemaUlikuwa unasubiri Mangungu aseme nini zaidi ya biashara ilichosema? Au pia huamini kuwa Mayele ameuzwa hadi utangaziwe?
Kwa MAELEZO yake.Kumbe ndivyo ilivyo
Haya basi sawa, mada imedororaKwa MAELEZO yake.
Taharuki ni 20 B za Mo ameweka acc gani?Taharuki kwa wasiojua maana ya hisa, kwa ufupi wajinga. Nimeona hata JF kuna wajinga wa kutosha
Itafutie familia yako chakula, wasije kushinda njaa kwa kufuatilia 20B za mtu mwenye utajiri wa Trilioni 4Taharuki ni 20 B za Mo ameweka acc gani?