NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Mimi imeniuma sana Maana mimi mwenyewe ni simba Die Hard fans kabisa..Ngoja makolo waje na mapovuπ€
Ukinunua kitu ni Mali yako...Kwa hiyo anaona Simba saiv kama ni yake ya
Mie namsubiri mh kingwangalaaya sasaaaaa wazee wa simba damu waje waoNe hii
ππ ila mo ni muhuni sana aisee anawatoa kwenye reli wenzieMie namsubiri mh kingwangala
Wahindi huwa wanawajuilia sana waswahili ...na simba huwa wanajionaga na akili sanaππ ila mo ni muhuni sana aisee anawatoa kwenye reli wenzie
HahahahahahaH.K atakua anaandika anafuta huko
Na hivi anajua kuandika gazzete π πH.K atakua anaandika anafuta huko