utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Rais wa heshima wa klabu ya Simba Muhamed Dewji leo ametembelea kambi ya mazoezi huko Dubai ambapo amepata nafasi ya kuongea na wachezaji na benchi la ufundi kuhusu mambo mbalimbali kuhusu klabu na mipango yake ya kuhakikisha Simba inatwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.
Inyeshe mvua liwake jua lazima ubingwa wa Afrika uje nchini mwaka huu[emoji1787][emoji1787]
#[emoji881][emoji881]NguvuMoja#
Inyeshe mvua liwake jua lazima ubingwa wa Afrika uje nchini mwaka huu[emoji1787][emoji1787]
#[emoji881][emoji881]NguvuMoja#