MO Dewji Foundation yafutiwa usajili baada ya kuomba kwa hiyari

MO Dewji Foundation yafutiwa usajili baada ya kuomba kwa hiyari

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Kupitia kurasa rasmi za Wizara ya Maendeleo ya Jamiii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetoa taarifa ya mashirika yasiyo ya kiserikali ambayo yameomba kwa hiyari na kwa mujibu wa sheria kufutiwa usajili na Wizara imetangaza kufuta usajili wa taasisi hizo.

Katika orodha hiyo limo jina la Mo Dewji Foundation yenye namba za usajili 00NGO/R/2446 ambalo mi miongoni mwa taasisi zilizofutiwa usajili hivyo kuanzia tarehe 25 Oktoba 2023 taasisi hiyo haina mamlaka ya kufanya kazi nchini Tanzania.

Screenshot 2023-11-13 at 13.52.39.png
 
Barua inaonesha tayari utekelezaji ushafanyika, hivyo Mo Foundation haipo tena tangu tarehe tajwa...
 
Sasa na lile li kono kwenye zile jezi inakuaje. Au wavumilie kwanza kupapaswa msimu mzima
 
Back
Top Bottom