Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
Exactly .....Rhetorical Question
And your answer is?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly .....Rhetorical Question
Kigwangala ni mnafiki tu na mtu mbinafsi ccm kuna madudu kibao mbona hayasemi bungeni anaishia kugonga meza tu hivi katiba mpya na transformation ya simba ipi ni muhimu kwa taifa ccm ina matatizo mengi kuliko simba ajabu anahangaika na ya simba badala ya mambo ya ccm rubbish .Janja Janja by Dr Kigwangala
Kwako FaizaFoxy [emoji23][emoji23][emoji91]
Kwahiyo yale makorokoro kwenye jezi za Simba hadi makalioni yataondoka sasa..Barua inaonesha tayari utekelezaji ushafanyika, hivyo Mo Foundation haipo tena tangu tarehe tajwa...
NdiyoHata bichwa la habari linasema hivyo na barua iliyoambatanishwa inasema hivyo.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?