MO Dewji Foundation yafutiwa usajili baada ya kuomba kwa hiyari

MO Dewji Foundation yafutiwa usajili baada ya kuomba kwa hiyari

Janja Janja by Dr Kigwangala

Kwako FaizaFoxy [emoji23][emoji23][emoji91]
Kigwangala ni mnafiki tu na mtu mbinafsi ccm kuna madudu kibao mbona hayasemi bungeni anaishia kugonga meza tu hivi katiba mpya na transformation ya simba ipi ni muhimu kwa taifa ccm ina matatizo mengi kuliko simba ajabu anahangaika na ya simba badala ya mambo ya ccm rubbish .
 
Hahahaha mzee wa janja janja moody,bil 20 hajatoa na huku kakimbia foundation,shida ya tajiri anaishi kwa mama
 
Back
Top Bottom