William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Hayupo kuboresha kikosi bali kuweka hesabu sawa tu.
Anakusudia kupunguza mishahara mikubwa tu.
Mishahara ya m 12+ kama inatakwa itemwe yote.
Wakaanza na Miksoni, Chama, Sarry, Jobe, Kanute, Ayoub, Ngoma. Atakaebaki kati yao labda tu awe na mkataba mgumu kuvunja lakini wote hao wanavunjwa moyo ili waondoke tu.
Hslafu wanakuja wachezaji wa mishahara nafuu kabisa ila umma utapotoshwa kuwa ni ghari.
Kuna mchezaji ghana alikuwa analipwa milion alafu tutaambiwa tunamlipa m 12 kumbe atakunja m 3tu.
Dogo wa Zambia atalipwa m 2.5 za bongo kutoka laki saba kwao.
Simba itakuwa mbovu mbovu mno
Anakusudia kupunguza mishahara mikubwa tu.
Mishahara ya m 12+ kama inatakwa itemwe yote.
Wakaanza na Miksoni, Chama, Sarry, Jobe, Kanute, Ayoub, Ngoma. Atakaebaki kati yao labda tu awe na mkataba mgumu kuvunja lakini wote hao wanavunjwa moyo ili waondoke tu.
Hslafu wanakuja wachezaji wa mishahara nafuu kabisa ila umma utapotoshwa kuwa ni ghari.
Kuna mchezaji ghana alikuwa analipwa milion alafu tutaambiwa tunamlipa m 12 kumbe atakunja m 3tu.
Dogo wa Zambia atalipwa m 2.5 za bongo kutoka laki saba kwao.
Simba itakuwa mbovu mbovu mno