MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Tajiri lia-lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mwaka 2003 ulikuwa hujui chochote kuhusu Mo kumwaga hela hadi Simba ikacheza makundi klabu bingwa na pia hujui kuwa pesa zake za kibahili ndio zimechora ramani ya ubora wa vilabu vya Tanzania kwa kuifanya Simba kuingia top 10 ya vilabu bora Afrika na kuleta ushawishi kwa Yanga nao kuiga mafanikio hayo kwa kujenga kikosi bora cha ushindani kimataifaMimi ni mshabiki wa Simba sc damu damu..ila huwa najiuliza muhindi na uwekezaji kwenye mpira wap na wap..Mo kuwa na pesa nyingi haimaanishi atatumia pesa nyingi kuafanya Simba sc iwe bora,wahindi wanaasili ya ubahili ni kama wachina hawafai..muhindi awekeze kwenye viwanda vya pilipili, biscuits n.k mchina apambane na barabara na simu..ila hizi race za wazungu,waarabu na wafrika wakiwa na pesa wanaweza kuwekeza vizuri kwenye mpira n.k na sio wabahili aisee...wanaroho za kitajiri..
Mkuu mbona unarusha ngumi za usoni.Mnamchamba Mo wkt nyie wenyewe kuendesha tuu familia ya watu 4 mmeshindwa....
Tutoleeni mavitambi yenu...