Mo Dewji hana mpango wa kuijenga upya Simba bali anaibomoa aichache kama alivyoikuta

Inawezekana mwaka 2003 ulikuwa hujui chochote kuhusu Mo kumwaga hela hadi Simba ikacheza makundi klabu bingwa na pia hujui kuwa pesa zake za kibahili ndio zimechora ramani ya ubora wa vilabu vya Tanzania kwa kuifanya Simba kuingia top 10 ya vilabu bora Afrika na kuleta ushawishi kwa Yanga nao kuiga mafanikio hayo kwa kujenga kikosi bora cha ushindani kimataifa
 
Aliyesababisha MO kuwa hivi ni Bashite.
MO alikuwa ni mtu mwenye upendo na mcheshi.

Bashite amesababisha mabaya mengi, hata kifo cha Manji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…