Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Kila Siku Mo Dewji husema anapata hasara katika Uwekezaji wake binafsi huwa simuelewi cha Msingi ni kuwa mashabiki wa Simba huwa wanamuelewa anapiwaambia hivyo.
Nina imani kwa sasa kila moenda Soka Afrika na Kwingineko anaifahamu Simba na anaifuatilia. Kwa Club kubwa kama Simba Ukipata fursa ya Kuweka Chochote kwenye Jersey yao cha kibiashara utakuwa umeitambulisha bidhaa hiyo au Kampuni lako si Tanzania tu bali hata nje ya mipaka ya Africa. Kitendo kama hicho kinaweza kukupa faida mara kubwa sana.
Angalieni Jersey Ya Simba ina matangazo ya Bidhaa za Mo kila upande inakuwaje anapata Hasara?
Wakati Umefika Sasa Mo aache kuwalagai mashabiki wa Simba kuwa kinachomfanya aifadhili Simba ni Mapenzi yake kwa Club. Aache pia kujifabya anatoa fedha zake kwa Hisani badala ya Win Win Situation.
Brand ya Simba ni kubwa sana na inajitisheleza kuiendesha Club tena Kitajiri kabisa. Anachotaka kutuambia Mo kwa Lugha nyingine ni kwamba Brand ya Simba haimpi Faida kutangaza nayo.
Kama hapati Faida akae pembeni watafutwe watu wanaoweza kuitumia Brand ya Simba kutengeneza Faida yeye kama ana mapenzi tu aendelee kuisapoti Simba akiwa pembeni.
Kama anapata Hasara sio kosa la Simba bali ni kosa la watu wake wa Masoko wanashindwa kuitumia Simba vizuri. Kwa ukubwa Wa Simba wameshavuka level za kuwa Ombaomba brand yao inatosha kabisa….
Yeye anadai mpaka sasa kashatumia Bilioni 50 nje ya Utaratibu na makubaliano. Mimi ni Yanga ila Simba wanapaswa kukaa na Mo wamwambie kuhusu hizi kauli zake zinaififisha brand ya Club na kama amechoka watafute wadhamini wengine.
Nina imani kwa sasa kila moenda Soka Afrika na Kwingineko anaifahamu Simba na anaifuatilia. Kwa Club kubwa kama Simba Ukipata fursa ya Kuweka Chochote kwenye Jersey yao cha kibiashara utakuwa umeitambulisha bidhaa hiyo au Kampuni lako si Tanzania tu bali hata nje ya mipaka ya Africa. Kitendo kama hicho kinaweza kukupa faida mara kubwa sana.
Angalieni Jersey Ya Simba ina matangazo ya Bidhaa za Mo kila upande inakuwaje anapata Hasara?
Wakati Umefika Sasa Mo aache kuwalagai mashabiki wa Simba kuwa kinachomfanya aifadhili Simba ni Mapenzi yake kwa Club. Aache pia kujifabya anatoa fedha zake kwa Hisani badala ya Win Win Situation.
Brand ya Simba ni kubwa sana na inajitisheleza kuiendesha Club tena Kitajiri kabisa. Anachotaka kutuambia Mo kwa Lugha nyingine ni kwamba Brand ya Simba haimpi Faida kutangaza nayo.
Kama hapati Faida akae pembeni watafutwe watu wanaoweza kuitumia Brand ya Simba kutengeneza Faida yeye kama ana mapenzi tu aendelee kuisapoti Simba akiwa pembeni.
Kama anapata Hasara sio kosa la Simba bali ni kosa la watu wake wa Masoko wanashindwa kuitumia Simba vizuri. Kwa ukubwa Wa Simba wameshavuka level za kuwa Ombaomba brand yao inatosha kabisa….
Yeye anadai mpaka sasa kashatumia Bilioni 50 nje ya Utaratibu na makubaliano. Mimi ni Yanga ila Simba wanapaswa kukaa na Mo wamwambie kuhusu hizi kauli zake zinaififisha brand ya Club na kama amechoka watafute wadhamini wengine.