Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kila kitu usichukulie serious kwenye haya maisha.Unaweza kuwa na ujumbe mzuri lakini lugha ya kipuuzi ikaharibu hoja.Kanjibhai ndiyo kitu gani?Huo ni ubaguzi,kutoheshimiana na kutawaliwa na wivu/umasikini.
Anza na yako kwanzawewe mafanikio yako yako wapi, weka wazi yakwako!
Punguza jazba na ubishi wa kihaMpuuzi ww Kwetu Hakuna Ujiji
Ni mambumbumbu ndiyo maana tunawasemea.mtani akisimangwa waziwazi na kanjibahi Mo dewji.
Wenye Simba Yao wanaijua vizuri kukuzidi.
Majungu yapi na wakati dewji ameongea wazi waziKwa hizo porojo itakuwa unakula na kulala kwa shemeji Yako huna hata uwezo wa kuchangia mlo mmoja wa wachezaji, endelea kucheza draft kijiweni mpika majungu.
Hawataki kuambiwa ukweli kabisa [emoji16]Majungu yapi na wakati dewji ameongea wazi wazi
Yanga imebeba kombe gani ambalo Simba wanajivunia robo fainali yake? Mafanikio ya Yanga ni ndani ya nchi, huko nje ya mipaka hakuna anayeitambua Yanga, hata Nabi siku anatambulishwa alipotoa speech alisema anashukuru kujiunga na Simba !Siku hizi mafanikio yenu ni kufika robo fainali. Zile story zenu za kusema "muhimu timu inashinda na kuleta makombe" hazipo tena. Maana makombe yote siku hizi yanabebwa na Yanga.
Mafanikio ni makombe hayo makombe ya kimataifa ni yapi simba amebebaYanga imebeba kombe gani ambalo Simba wanajivunia robo fainali yake? Mafanikio ya Yanga ni ndani ya nchi, huko nje ya mipaka hakuna anayeitambua Yanga, hata Nabi siku anatambulishwa alipotoa speech alisema anashukuru kujiunga na Simba !
Hawezi kukujibu hilo swali aise.Mafanikio ni makombe hayo makombe ya kimataifa ni yapi simba amebeba
Soma hii ili ujue hoja yangu ilikotoka:Mafanikio ni makombe hayo makombe ya kimataifa ni yapi simba amebeba
Maana makombe yote siku hizi yanabebwa na Yanga.
Hivi ile miaka minne mliyotoka kapa, mlikuwa mnaishije? Hayo makombe "yote" mliyobeba, ni kwa miaka mingapi?Siku hizi mafanikio yenu ni kufika robo fainali. Zile story zenu za kusema "muhimu timu inashinda na kuleta makombe" hazipo tena. Maana makombe yote siku hizi yanabebwa na Yanga.
Nyinyi Hilo kombe mnalo kabatiniKujadili hoja za wanuka vinyesi wanaoshiriki kombe la ma loser ni kupoteza muda