Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
Mo kashaichoka Simba ndo maana kuna mambo mengine haangaiki nayo kabisa na aliamua kujitoa kwenye uwenyekiti mapema kabisa hii ikionyesha kashaichoka Simba.
Na yupo Simba kwasababu ya kukuza brand ya bidhaaa zake na sio kingine.
Na ukiangalia ameuza wachezaji wote wazuri tena kwa mpunga mrefu tu na kashapata chake katulia tuli cz hela aliyowekeza kwenye timu imerudi.
Simba imebak na wachezaji ambao washaumaliza mwendo [emoji21]
Na yupo Simba kwasababu ya kukuza brand ya bidhaaa zake na sio kingine.
Na ukiangalia ameuza wachezaji wote wazuri tena kwa mpunga mrefu tu na kashapata chake katulia tuli cz hela aliyowekeza kwenye timu imerudi.
Simba imebak na wachezaji ambao washaumaliza mwendo [emoji21]