johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyo anaitwa KanjiHuyu ni nani mkuu? mbona kama mhindi alafu amendika kiswahili fasaha sana? jaribu kujazia nyama wengine hatumjui mkuu
Yohana atika ubora wake!View attachment 3013005
Huu ujumbe alioandika MO Dewji ukurasani X unawahusu Sana Wanachama wa Chadema na viongozi wao waliong'ang'ania madarakani.
"Kwa kila Jambo kuna Majira yake na Wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa na Wakati wa kufa, Wakati wa kupanda na Wakati wa kung'oa yaliyopandwa" Muh 3:1-2
Chadema zingatieni wosia huu wa Mwekezaji namba 1 nchini MO Dewji.
Kanji Bhai, alafu mwambie akatandike mikeka nje kwanza Jua halijazamaHuyo anaitwa Kanji
Unawahusu sana CCM ambao wanaiba kura ili kuendelea kutawala.View attachment 3013005
Huu ujumbe alioandika MO Dewji ukurasani X unawahusu Sana Wanachama wa Chadema na viongozi wao waliong'ang'ania madarakani.
"Kwa kila Jambo kuna Majira yake na Wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa na Wakati wa kufa, Wakati wa kupanda na Wakati wa kung'oa yaliyopandwa" Muh 3:1-2
Chadema zingatieni wosia huu wa Mwekezaji namba 1 nchini MO Dewji.
Yohana MO Dewji inabidi abatizwe haraka sanaView attachment 3013005
Huu ujumbe alioandika MO Dewji ukurasani X unawahusu Sana Wanachama wa Chadema na viongozi wao waliong'ang'ania madarakani.
"Kwa kila Jambo kuna Majira yake na Wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa na Wakati wa kufa, Wakati wa kupanda na Wakati wa kung'oa yaliyopandwa" Muh 3:1-2
Chadema zingatieni wosia huu wa Mwekezaji namba 1 nchini MO Dewji.
Bwashee huwa unashinda ukimuwaza Mbowe na Chadema tu. Hata ukiwa unakunywa mataputapu yako hapo kilabuni unaiwaza chadema tuView attachment 3013005
Huu ujumbe alioandika MO Dewji ukurasani X unawahusu Sana Wanachama wa Chadema na viongozi wao waliong'ang'ania madarakani.
"Kwa kila Jambo kuna Majira yake na Wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa na Wakati wa kufa, Wakati wa kupanda na Wakati wa kung'oa yaliyopandwa" Muh 3:1-2
Chadema zingatieni wosia huu wa Mwekezaji namba 1 nchini MO Dewji.
MO kamwaga sana Hela wale mbugila wanajiita Wajumbe waulize wametoa kiasi gani kununua Mchicha wa timu watu wale?Wakae mezani wamalize tofauti zao, kila mtu ana haki ya kupata anachostahili/ matunda ya jasho lake.
Tusimlaumu Mo tumsikilize kwenye haki tutoe
Ngoja tuone ila nadhani ipo shida mahali kwani Simba haifanyi vizuri kabisaView attachment 3013005
Huu ujumbe alioandika MO Dewji ukurasani X unawahusu Sana Wanachama wa Chadema na viongozi wao waliong'ang'ania madarakani.
"Kwa kila Jambo kuna Majira yake na Wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa na Wakati wa kufa, Wakati wa kupanda na Wakati wa kung'oa yaliyopandwa" Muh 3:1-2
Chadema zingatieni wosia huu wa Mwekezaji namba 1 nchini MO Dewji.
Ngoja tuone ila nadhani ipo shida mahali kwani Simba haifanyiView attachment 3013005
Huu ujumbe alioandika MO Dewji ukurasani X unawahusu Sana Wanachama wa Chadema na viongozi wao waliong'ang'ania madarakani.
"Kwa kila Jambo kuna Majira yake na Wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, Wakati wa kuzaliwa na Wakati wa kufa, Wakati wa kupanda na Wakati wa kung'oa yaliyopandwa" Muh 3:1-2
Chadema zingatieni wosia huu wa Mwekezaji namba 1 nchini MO Dewji.
mbona hamuendagi mahakamani kushitakiUnawahusu sana CCM ambao wanaiba kura ili kuendelea kutawala.
Uongo uongombona hamuendagi mahakamani kushitaki
nini uongo mkuuUongo uongo
Huyo Monini uongo mkuu
Mahakama hizi zinazopokea maagizo toka jumba jeupe?mbona hamuendagi mahakamani kushitaki
Mbona covid 19 mlienda mahakama hizo hizoMahakama hizi zinazopokea maagizo toka jumba jeupe?