MO Dewji mzalendo

MO Dewji mzalendo

Mwenzako kazaliwa Singida na ameshawatumikia watu wake nikukumbushe tu wafanyakazi wengi ni watanzania
Baniani hata kama angezaliwa chini ya ziwa tanganyika hawezi kuwa mzalendo kwa tanganyika mtu mwenyewe hata kiswahili hawezi huo uzalendo ni upi acha kujitoa ufahamu. Nyie ndio mkwawa aliwau maana mlikua mnampa siri mjeruamani
 
Mo mshamba na bwege tu


Hana haiba nadhani hata hizo mali ni kwa vile nizakurithi


Jinga kabisa
Wewe umerithi nini kwenu? Au watoto wako watarithi nini toka kwako?

Acha kua na fikra za kimasikini,Wahindi wana successful plan,watoto huendeleza mali za familia kuliko kila mmoja kuanza moja na ndio maana wanakua matajiri.
 
Kuwekeza hapa nchini ni uzalendo tosha kabisa achana na furaha hii wanayopata wanasimba na watanzania Kwa ujumla
Ndugu tambua amewekeza kwa faida yake na si ya taifa japo nalo linafaidika kwa kodi ..ila kwa roho ile hata hiyo afanyaje tu. Hana uzalendo ni upambanaji na ubinafsi uliopindukia
 
Ndugu tambua amewekeza kwa faida yake na si ya taifa japo nalo linafaidika kwa kodi ..ila kwa roho ile hata hiyo afanyaje tu. Hana uzalendo ni upambanaji na ubinafsi uliopindukia
Bila kuwa mbinafsi unawezaje kuwa na mafanikio kama ya MO, Unadhani angeshindwa kuchukua uraia Pacha??!!..angekua siyo mzalendo si angeenda kudhamini au kuwekeza kwenye nchi nyingine Kwa fedha alizokua nazo
 
Bila kuwa mbinafsi unawezaje kuwa na mafanikio kama ya MO, Unadhani angeshindwa kuchukua uraia Pacha??!!..angekua siyo mzalendo si angeenda kudhamini au kuwekeza kwenye nchi nyingine Kwa fedha alizokua nazo
Uraia pacha nchi yetu ya kizalendo hairuhusu kwani ukishachukua uraia nchi nyingine tayari umeshaukana utanzania pia Bongo kuna fursa sana kwa watu wenye mitaji mikubwa ndo maana dangote kaja sio uzalendo ni utafutaji tu.
 
Mo
Kazaliwa Singida
Kasoma shule za serikali
Kawatumikia watu wa kijijini kwake
Kawekeza kwenye nchi yake
Simba SC ni mtoto tu kwake,tokea amaeanza kuwa mshabiki Hadi mwananachama na kisha mwekezaji ndani ya club hii pendwa ni Jambo la kheri na ikibidi asifiwe sana!!..

Kila kwenye neema hakukosi changamoto na ndio maana tunaona hii Ngoma inayojaribu kuchezwa sasa!!... Katika watu wote waliowekeza kwenye mpira au mashabiki tu nadhani MO ana sehemu yake katika historia ya mchezo huu wa miguu!!

Simba ni team kubwa na moja ya team zenye mafanikio barani Afrika na Duniani Kwa muda huu!!..
Na kuiwezesha simba akianzia babu yake akaja baba yake akaja mjombake na sahv niyeye afu kigagura toka mitaro ya kando kando mwa mji anakuja kumletea mtu maneno mbofumbofu eti nimeiinua timu kwa maneno uiinue timu.
 
Na kuiwezesha simba akianzia babu yake akaja baba yake akaja mjombake na sahv niyeye afu kigagura toka mitaro ya kando kando mwa mji anakuja kumletea mtu maneno mbofumbofu eti nimeiinua timu kwa maneno uiinue timu.
Kuwa muwezeshaji akufanyi I we sababu ya kukosa utu na kubehave like fool ajifunze kwa wawekezaji wengine wa Mpira duniani
 
Mo
Kazaliwa Singida
Kasoma shule za serikali
Kawatumikia watu wa kijijini kwake
Kawekeza kwenye nchi yake
Simba SC ni mtoto tu kwake,tokea amaeanza kuwa mshabiki Hadi mwananachama na kisha mwekezaji ndani ya club hii pendwa ni Jambo la kheri na ikibidi asifiwe sana!!..

Kila kwenye neema hakukosi changamoto na ndio maana tunaona hii Ngoma inayojaribu kuchezwa sasa!!... Katika watu wote waliowekeza kwenye mpira au mashabiki tu nadhani MO ana sehemu yake katika historia ya mchezo huu wa miguu!!

Simba ni team kubwa na moja ya team zenye mafanikio barani Afrika na Duniani Kwa muda huu!!..
Utumwa kutwa kujikomba kwa matajiri.
Tangu lini muhindi akawa mzalendo
 
Waafrika huwa kama wamekata kichaa ... mtu baniani mnasemaje mzalendo wakati hata kiswahili hawezi
Ki ukweli katika matajiri ambao hawana msaada kwa jamii ya kitanzania ni Mo!!angalia kina Sabodo, Patel(marehemu)kuna huduma za jamii nyingi sana walichangia lakini Mo, yaani kuwekeza simba ambayo ni biashara anaonekana ni bonge la mzalendo!!
 
Ki ukweli katika matajiri ambao hawana msaada kwa jamii ya kitanzania ni Mo!!angalia kina Sabodo, Patel(marehemu)kuna huduma za jamii nyingi sana walichangia lakini Mo, yaani kuwekeza simba ambayo ni biashara anaonekana ni bonge la mzalendo!!
Acha kumchukia mtu na kuongea uongo. Mo anawasomesha watz zaidi ya 100 ngazi ya chuo nje na ndani ya tz na bado ana wasaidia watoto wanaougua saratani. Km hujafanya uchunguzi usimpakazie mtu. Mo foundation unajua kazi yake..? Hiki ulichoandika ni uongo wenye chuki tafuta hela Mo ndio mtu wasekta binafsi aliye ajiri watanzania wengi aisee jitathimini
 
Kuwa muwezeshaji akufanyi I we sababu ya kukosa utu na kubehave like fool ajifunze kwa wawekezaji wengine wa Mpira duniani
Utu upi.alioukosa..? Kusimamia maadili ni kukosa utu..? Kila taasisi ina code of conduct ambazo lazima kila mtu azisimamie. Katika kuisimamia simba manara na anaowavwatukia nani alikua na mamlaka kuzidi mwenzie..? Jitambue
 
Back
Top Bottom