SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,038
- 8,929
Hizo Yanga na Simba waachieni kina Mpili na Manara (Waswahili).
Bakhresa aliona mbali akaanzisha timu na uwanja wake. Yupo huru kutumia hela yake pasipo majungu yoyote.
Yanga na Simba mtapoteza hela zenu na mwisho mlipwe matusi na dharau kutoka kwa maskini wasio na mbele wala nyuma.
Mtu hachangii hata mia kwenye timu ila anamtukana mfadhili aliyetoa bilioni 41 kwa kipindi cha miaka 4 tu.
Bakhresa aliona mbali akaanzisha timu na uwanja wake. Yupo huru kutumia hela yake pasipo majungu yoyote.
Yanga na Simba mtapoteza hela zenu na mwisho mlipwe matusi na dharau kutoka kwa maskini wasio na mbele wala nyuma.
Mtu hachangii hata mia kwenye timu ila anamtukana mfadhili aliyetoa bilioni 41 kwa kipindi cha miaka 4 tu.