Mo Dewji na plagiarism kutoka NY Times

Mo Dewji na plagiarism kutoka NY Times

While you all;

man-pulling-hair-out-2.jpg

Home boy is doing higher level plagiarising ohoooo


2593.jpg

Mo akijichanganya na wanachi
anacheza vizuri sana
 
Plagiarism ni kosa kubwa lakini tujiulize ni watu wangapi hapa tanzania wanafanya "dhambi" hii? Hivi hamjui kuwa wapo watu wengi hapa tanzania tena in hundreds ambao thesis au dissertations zao ziwe za masters au phd wamefanyiwa na watu wengine? kazi kwenu watanzania.
 
Apology accepted, albeit with reservation:

Kuonesha rejea haitoshi. Mwandishi anapaswa kuomba ruhusu ya kutafsiri na kutumia makala husika kwanza. Hivyo Mheshimiwa MO awaandikie kuwaomba kufanya hivyo.

P.S. Pia aache ku-plagiarize jina la MO Ibrahim - just kidding though!
 
Apology accepted, albeit with reservation:

Kuonesha rejea haitoshi. Mwandishi anapaswa kuomba ruhusu ya kutafsiri na kutumia makala husika kwanza. Hivyo Mheshimiwa MO awaandikie kuwaomba kufanya hivyo.

P.S. Pia aache ku-plagiarize jina la MO Ibrahim - just kidding though!


Afu wewe sio ndio KING ku-plagiarize.
 
Wanajamii Forums......mimi ni binadamu hivyo kama wengine......
Big Up!, hats off man...you didn't hide and cry,

You stood up, like a REAL MAN!,


give the guy a break...
he stood up and accepted his mistake and has apologised to the forum...
Kuna more important things to be addressed...
Mo we all learn through mistakes....

Wengi wameonekana kuridhika tayari.




Jamani issue hapa ni kubwa kuliko wengi wetu tunavyodhani. Angekuwa Mag3 ka plagiarize halafu kaomba msamaha, pengine msamaha wa haraka ungemake sense. Huyu Mh. Mo ni mbunge na aligombea ubunge ili awe na nafasi nzuri ya kuungana na wananchi waliomchagua kulisukuma gurudumu la maendeleo na kuwakilisha bungeni matatizo yanayokwamisha kwa namna moja au nyingine jitihada hizo. Ndio maana katika kuchangia mada yake nilimwuliza kwa nini aligombea ubunge na toka amechaguliwa ni juhudi zipi amefanya kulifikisha swala la matatizo ya umeme bungeni. Nikamwuliza tena kwa nini aligombea ubunge kwa sera za CCM ambazo zimeshindwa kutatua matatizo ya umeme na badala yake tunaishia kukimbizana na matapeli na mitambo yao.

Mh. Mo, Mbunge wa CCM wa Singida badala yake ametaka kutafuta umaarufu na kujijenga kisiasa kwa kupitia mgongo wa mtandao wa JF. Bahati mbaya ni kuwa gea aliyoingia nayo pia ikawa ile ile inayoitafuna CCM na serikali yake ya kujivika sifa za kilaghai zisizo na mshiko. Kwanza, Mh. Mo ni moja wa wabunge ambao wako mstari wa mbele kuunga mkono miswada yote ya serikali hata kama haina maslahi kwa wananchi. Pili, Mh. Mo kila mara ameungana na wenzake kupinga mapendekezo yoyote yale yenye faida kwa wananchi mradi tu yametoka upinzani. Tatu, kwa hili tendo lake ameonyesha tabia iliyokithiri katika uongozi wa nchi ya kudharau mwiba, sasa tende lamwuumbua.

Karibu tena Mh. Mo ila tread carefully, hii ni JF - mtu hakopeshwi hapa.

Hoja yako imeziba pengo. I salute you!

nilkienda deeper zaidi ya hii incident, nikiangalia trends na concepts, mo ni part ya uongozi wa kidanganyifu na hii plagiarism ni tip of the iceberg tu, ni part ya uongozi mzima uliozoea fraud, unaoweka umuhimu katika the appearance kuwa tunafanya kitu kuliko kufanya kitu. ndio uongozi huu huu ulioiba kura certainly zanzibar na kumrudisha komandoo kwenye power illegally - wakuu wa usalama wenyewe wameniambia hili, halina mjadala kwa wanaojua, baba nyerere, the mantle of decency bongo, alii rape democracy tanzania- sasa unategemea nini kutoka kwa mo.

Jamaa ameomba msamaha, upokelewe

bluray
hayo maneno kwenye bold ni mazito sana na ndiyo yanayofanya watu wawe hivyo.
Yani tatizo hapa sio plagiarism kabisa tatizo ni udanganyifu

mo angeweza kuyaongelea matatizo ya umeme tz kwa maneno yake mwenyewe vizuri sana, angejaza page 2 easily, lakini yeye alitaka killer article ambayo ingemuonyesha yeye ni nani.
ni sawa sawa na wale viongozi wenye degree wananunua phd fake.


Na wewe Bluray,
Kwa hiyo kauli ya "sasa unategemea nini", unataka kutuambia nini hasa?

Kama utapenda kubadili kauli yako, karibu sana!
 
Back
Top Bottom