MO Dewji: Nataka kuwekeza bilioni 20 Simba

MO Dewji: Nataka kuwekeza bilioni 20 Simba

Binafsi sikubaliani na MO kupewa simba, hii lugha anayosema Leo ni lugha ya kuvutia tu sio uhalisia.. Atueleze kwa nini alishindwa kwa African Lyon...!
Mo hajaanza mapenzi na Simba leo, Alidhamini miaka ile ya 2000-2006 na tulifanya vizuri saana.

Hilo la African Lyon alishalielezea. Hivi unafikiri Mo anataka Simba ili atajirike?
 
Mo hajaanza mapenzi na Simba leo, Alidhamini miaka ile ya 2000-2006 na tulifanya vizuri saana.

Hilo la African Lyon alishalielezea. Hivi unafikiri Mo anataka Simba ili atajirike?
Hawa ndo wasiosoma alama za nyakati.. wanadhani bado tuko miaka ya 1990
 
Huyo aveva mwenyewe uwanjan hatumwon kwa mechi za simba yuko kwenye mishe zake mpen mo timu nyie shangaeni tu, mtazishangilia mo bejaia sana tu
 
Azam ina washabiki gani?kiuhalisia? Hawafiki hata 2000 wale ni wapenda soka kadhaa na wengine ni wa Yanga na Simba ambao huhama kutegemea na team husika. Pia wamekuwa wakinunuliwa. Mwisho wa siku mashabiki wapo simba na yanga. Tupende tusipende.mengne ni kujifurahisha tu.
Timu ikifanya vizuri, inapata mashabiki.. MO usikufanye usione ukweli.. Leicester city imetoa wapi mashabiki
 
Naunga Mkono Simba Kubaki kama ilivo. Kama Dewji ana Talent za uongozi na yeye ni mwanachama wa simba anaruhusiwa kuogombea Uongozi ili afanye maendeleo anayo kusudiwa. Njia Nyengine ni kui sponsor Simba kwa udhamini wa muda mrefu .
Kuuza Simba kwa yeye kuimiliki hilo haliwezekani. Mimi ni mwanachama wa simba na mtu wa kwanza kwenda mahakamani kupinga hatua hii.
Simba ni timu ya wazee wetu wa Dar es salaam ..Pamoja na Yanga na Coastal Union na African Sports zina Historia za kipekee katika siasa za nchi hii tangu enzi za Kugombea Uhuru.
wazee wale waliziongoza timu hizi kwa mafanikio makubwa na ikawa ndio chachu ya maendelo ya Footbal Tanzania.
Simba ni Priceless..huwezi kuithamini kwa fedha kabisa. Ni club ambayo imeweza ku survive zaidi ya Miaka 70 ya dharuba kwa muundo wake huu huu uliopo ambao ni kuwa chini ya wanachama na wapenzi.
How much is share ya Club hii ?'
Na jee nani atakua beneficiary wa hizo share Jee wajukuu wa waanzilishi wa Simba au matapeli kina Hanspope na Aveva ?
Ni wa zi Simba sio Africa Lyon ambayo Dewji ilimshinda kuindesha kwa sababu moja tu..hakua tayari kuwekeza kama alivo ahidi.

Tunamshauri yeye na wote wanaopokea Rushwa waache ndoto zao halitawezekana kabisa hili.....bora simba ife kabisa kuliko kuuziwa mtu mwenye malengo ya kuifanya simba brand ya biashara yaek. Na hakika Tunaomba TAKUKURU Wachunguze wale wote wanaoshabikia hili kwani kuna kila dalili wanapokea rushwa kufanikisha mpango huu haramu
SIMBA NI YA WATANZANIA WAPENZI HAIWEZI KUUZWA NA HAITAUZWA..
Tatizo lenu mnaleta siasa ktk soka.Sasa hivi mpira ni biashara sio brah brah.
 
Binafsi sikubaliani na MO kupewa simba, hii lugha anayosema Leo ni lugha ya kuvutia tu sio uhalisia.. Atueleze kwa nini alishindwa kwa African Lyon...!

Hakushindwa,Kule hakuna mashabiki maana kila mtoto akizaliwa hata kashozi bukoba anakuwa shabiki wa Simba au Yanga
 
Mo kama mwanachama ana wazo zuri... Ila kama mwekezaji anaingilia mchakato wa kumpata mwekezaji kwa kuweka pressure kwa viongozi na wanachama kwa kutumia current situation ya tim ya Simba... Angetoa wazo aka kaa pembeni ili kama wazo likipita wawekezaji wengine wajitokeze na bid zao mna kushindana na apatikane mmoja mwenye bid kubwa (nzuri)...
 
MO nia yake ni nzuri lakini approach anayoitumia ndio inaleta wasiwasi,kibaya zaidi yeye ana amini hela ndio kila kitu
 
leicester haina mashabiki Tanzania. Trust me wale ni mashabiki wa kuazima. si mashabiki real. ukiwauliza mashabiki wao wtakwambia ni wa man u,chelsea,arsenal na liverpool. kupata mashabiki ni kazi kubwa sana sivyo kama mnavyofikiri. azam kiuhalisia ina mashabiki wangapi nchini? tuseme ukweli.

Timu ikifanya vizuri, inapata mashabiki.. MO usikufanye usione ukweli.. Leicester city imetoa wapi mashabiki
 
Back
Top Bottom