Mo Dewji: Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Ali Mohamed Kibao

Mo Dewji: Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Ali Mohamed Kibao

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hakika Dunia nzima inamlilia Ally Mohamed Kibao japo hawamjui. Ogopa sana Machozi ya aina hii

Ukurasani X Mo Dewji naye amemlilia sana Ally Mohamed Kibao. Niishie hapo 🐼

======

Mohamed Dewji ameandika:

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Ali Kibao. Ninatoa pole kwa familia yake, ndugu, jamaa, na marafiki wote. Tanzania ni nchi ya amani, umoja, na upendo, na vitendo vya ukatili havina nafasi katika jamii yetu. Tuendelee kujenga mshikamano, upendo, na amani.Roho ya Bw. Ali Kibao ipumzike kwa amani. Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un


Mo 2.PNG

Pia, soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
 
Back
Top Bottom