johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hakika Dunia nzima inamlilia Ally Mohamed Kibao japo hawamjui. Ogopa sana Machozi ya aina hii
Ukurasani X Mo Dewji naye amemlilia sana Ally Mohamed Kibao. Niishie hapo š¼
======
Mohamed Dewji ameandika:
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Ali Kibao. Ninatoa pole kwa familia yake, ndugu, jamaa, na marafiki wote. Tanzania ni nchi ya amani, umoja, na upendo, na vitendo vya ukatili havina nafasi katika jamii yetu. Tuendelee kujenga mshikamano, upendo, na amani.Roho ya Bw. Ali Kibao ipumzike kwa amani. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiāun
Pia, soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Ukurasani X Mo Dewji naye amemlilia sana Ally Mohamed Kibao. Niishie hapo š¼
======
Mohamed Dewji ameandika:
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Ali Kibao. Ninatoa pole kwa familia yake, ndugu, jamaa, na marafiki wote. Tanzania ni nchi ya amani, umoja, na upendo, na vitendo vya ukatili havina nafasi katika jamii yetu. Tuendelee kujenga mshikamano, upendo, na amani.Roho ya Bw. Ali Kibao ipumzike kwa amani. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiāun
Pia, soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana