Mo Dewji: Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Ali Mohamed Kibao

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Hakika Dunia nzima inamlilia Ally Mohamed Kibao japo hawamjui. Ogopa sana Machozi ya aina hii

Ukurasani X Mo Dewji naye amemlilia sana Ally Mohamed Kibao. Niishie hapo 🐼

======

Mohamed Dewji ameandika:

Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Ali Kibao. Ninatoa pole kwa familia yake, ndugu, jamaa, na marafiki wote. Tanzania ni nchi ya amani, umoja, na upendo, na vitendo vya ukatili havina nafasi katika jamii yetu. Tuendelee kujenga mshikamano, upendo, na amani.Roho ya Bw. Ali Kibao ipumzike kwa amani. Inna lillahi wa inna ilayhi raji’un



Pia, soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
 
Kila aiana ya lawama tulimwelekeza Mwenda zake kwa haya mauji ya Watanzania wasio na hatia...Mama alitaka kutuaminisha mwanzo wa utawala wake ila sasa hali siyo na ccm ni ile ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…