Hio ni lazima itokee mkuuJitihada za dhati zinafanyika Kulazimisha tatizo sehemu ambayo haina tatizo.
Kupanda kwa Yanga sio lazima umshushe Simba.
Kufanikiwa kumshusha adui yako, haimaanishi kuwa wewe ndiyo utakuwa juu.
Je mnaweza kumtimua sasaSimba kwa sasa haiwezi kukosa uwekezaji.
Kumbuka wakati wa kuuza hisa sio MO peke yake aliyetaka kuwekeza Simba.
Kiukweli MO hana furaha kuendelea kuwekeza Simba.
Na sifahamu ni kwanini haondoki.
Maneno yake yanaanza kuwakera Wana Simba na asipojirekebisha watamtimua katika namna ambayo hairidhishi sana.
Kuisemasema Simba kila mala ni kama kuisimanga timu na wanachama wake, hii ni kuendelea kuwaumiza Wana Simba jambo ambalo sio afya kwa wanamichezo kwa ujumla wake.
Maji yanapo fikia shingoni chochote kinaweza kutokea.
[emoji23][emoji23]Maji yanapo fikia shingoni chochote kinaweza kutokea.
Hapo mtu anapambania Uhai tu.
Kwani zile 26 billion za mdhamini mama bet zinafanya kazi gan
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Viingilio vya mashabiki...Angalia gharama ya usafiri na salarys, timu inavyosafiri na hapa inapolala do you think hizo 26 zinatosha?
Bado hazitoshi je hizo zingine zinatoka wapi?
Hisa za wanachama mpaka Leo zimenunuliwa ngapi?
Let's say ww ni mwanachama wa Simba je umelipa sh ngapi kununua zile hisa 51?
Waache waupake upepo rangiJitihada za dhati zinafanyika Kulazimisha tatizo sehemu ambayo haina tatizo.
Kupanda kwa Yanga sio lazima umshushe Simba.
Kufanikiwa kumshusha adui yako, haimaanishi kuwa wewe ndiyo utakuwa juu.
Kwamba atakiwashaNdugu zangu yaani kama kesho ikitokea mkadroo au mkapigwa ,mjiandae na domo la Mo.
mbona umekasirika tulia kijana ujibu swali unaloulizwaIko matakoni kwako wewe
Hapana mkuu...japo nna pesa sana ....ila naona kuchek kwenye tv ni unyama sanaWewe umewahi kuingia hata siku moja?
Hapana mkuu...japo nna pesa sana ....ila naona kuchek kwenye tv ni unyama sana
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wanaenda wengine mkuuSasa club ya Simba inapataje ela yako? Wewe kama shabiki lia lia
Umtimuwe mmiliki? Hivi unajuwa kama Try again amewekwa na Mo asimamie maslahi yake?Simba kwa sasa haiwezi kukosa uwekezaji.
Kumbuka wakati wa kuuza hisa sio MO peke yake aliyetaka kuwekeza Simba.
Kiukweli MO hana furaha kuendelea kuwekeza Simba.
Na sifahamu ni kwanini haondoki.
Maneno yake yanaanza kuwakera Wana Simba na asipojirekebisha watamtimua katika namna ambayo hairidhishi sana.
Kuisemasema Simba kila mala ni kama kuisimanga timu na wanachama wake, hii ni kuendelea kuwaumiza Wana Simba jambo ambalo sio afya kwa wanamichezo kwa ujumla wake.
Tajiri mwenye gubu.“Nadhani kitu ghali zaidi nilichowahi kununua ni klabu ya mpira inaitwa Simba ina mashabiki milioni 35, niliinunua hii klabu miaka mitano iliyopita, nimepoteza takribani Dola za marekani milioni 4 (Tsh bilioni 10.2) kwa mwaka mmoja na kwa miaka yote mitano nimepoteza Dola za Marekani milioni 20 (Tsh bilioni 51)"
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akizungumza kwenye Podcast ya Ahmed Mahmood.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ila mie wananishangaza sana wabongo, team ikiachiwa wanachama, inasua sua na kupitisha bakuli, mwekezaji akiwepo akitumia gharama zake na team ikapata mafanikio, akisema wazi ni nongwaa khaaaa.Timu hzi wakiachiwa hao 51% hakuna lolote wanaweza fanya, refer Yanga 3yrs ago. Kuhusu uwekezaji hao watu ni muhimu ila Mo muongo muongo sana. Au ana agenda yake binafsi maana yake timu ikikaribia kupata pesa lazima aibuke. Yaana kama mbowe na chadema