Kwani zile 26 billion za mdhamini mama bet zinafanya kazi ganKama wanashindwa kuhoji mishahara ya wachezaji inatoka wapi then kweli hawana chao
Angalia mkuu...hawa makolo wame panic [emoji23]Tulia dawa iingie vizuri we mwanasimba.. Bosi wenu kashasema huko
Siku nzima nilikuonea huruma [emoji23][emoji23]Wee mi nilikua ndani kwangu bana..sema hatukula usiku siku hyo..walikula wtt tuu...
Ila kesho yake nikakumbuka 6 kwa sufuri tuliyowalamba na ile 5 kwa 0 basi nikasema hivi naumia nini? Kutesa kwa zamu
India ipo makalioni kwako hukoKumbe India nako kuna Singida ??
Ipo mjini YouTube....huku nmeshindwa kuipandishaMbona haifunguki? Au ni voice note...
Mhhh haya bana rafiki yangu utopwile...Siku nzima nilikuonea huruma [emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kalpana mwenyewe ngoja aje ajitetee,nachokumbuka alioniomba ahamie Yanga aje Tawi langu baada ya 5GMkuu Kalpana ni kolo kindaki ndaki
Kwani hukusikia kuwa kile kichapo Cha 5...... kalpana alikuwa kibanda umiza .....Kwa hasira [emoji3063][emoji3063] akang'oa na tv ya watu[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kashasema mkuu .. Makolo hawana la kujibumpaka aseme
Kwamba na ubilionea ule...anavizia na ka 3bSiwezi kushangaa!, Hapo mhasibu atakuwa ni popoma OKW BOBAN SUNZU [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Anavizia 3B za robo
Nadhani hili la kuuzwa kama kiroba cha mahindi,atanitafuta tumpe kadi
Inflation Kama inflation.Ohhohh!! Sio zile 20 tena? πππ. Huyu jamaa kwel anaipenda simba. Si tulijua 20b kumbe aliongeza zingine??
Hakuna kama Moooooo
Yaah mkuu tumuokoe chaap.....coz kule ukoloni mambo yataharibika soonNadhani hili la kuuzwa kama kiroba cha mahindi,atanitafuta tumpe kadi
Simba imeingiliwa. Imevamiwa na tapeli aitwa MO. Hana mapenzi na Simba yeye yuko kibiashara. Alisema wanaSimba mumsamehe kama Simba hawatachukua kombe lolote mwaka huu. Bahati nzuri Simba wakachukua Ngao ya hisani. MO alishtuka na ndio maana wakati Simba anakaribia kucheza na Yanga MO akaunda kamati ambayo ilifanikisha Simba kupigwa 5. Baada ya hapo MO akafadhili maandamano ya kushinikiza Mangungu afukuzwe uongozi. Jamani wanaSimba msishangae Simba akipigwa na Galaxy ili Mangungu aachishwe uongozi na biashara za MO zifanikiweBili 10 kila mwaka kwa matumizi gani? Au ndio propaganda kama kawaida.
Hamna utajiri wa kishamba huo.... Umeshamsikia Gsm akisema amepata hasara yanga?...... Tajiri ana mihemko Kama mwijaku/baba levo π π