Horoya fan
Member
- Mar 13, 2023
- 79
- 253
Akihojiwa na Grobal online tv, Raisi wa heshima wa Simba ambaye pia ndiye mwekezaji pekee wa klabu hiyo ndugu Mohamed Dewji ametoa majibu haya....
Swali: Kumekuwa na Taarifa kuwa kwenye Usajili Moo ametoa kiasi fulani lakini mchezaji anayesajiliwa sio wa kiwango hicho
Majibu: “Mwaka jana niliwapa Simba bilioni 1.5 ya usajili, lakini lazima tuelewe Wanasimba na Wanamichezo waelewe kila mtu ana fani yake.…
Mimi ni mfanyabiashara sio scout, tunawataalamu ndani ya Simba ambao wao wakihitaji pesa mimi huwa nawapa hizo pesa.
“Lakini makosa tayari yametokea, nasikia mambo kama hayo yapo lakini Mm sina evidence,” Mwekezaji na Rais wa Heshima wa Simba Sc, Mohammed Dewji.
Cc #globalonlinetv
Swali: Kumekuwa na Taarifa kuwa kwenye Usajili Moo ametoa kiasi fulani lakini mchezaji anayesajiliwa sio wa kiwango hicho
Majibu: “Mwaka jana niliwapa Simba bilioni 1.5 ya usajili, lakini lazima tuelewe Wanasimba na Wanamichezo waelewe kila mtu ana fani yake.…
Mimi ni mfanyabiashara sio scout, tunawataalamu ndani ya Simba ambao wao wakihitaji pesa mimi huwa nawapa hizo pesa.
“Lakini makosa tayari yametokea, nasikia mambo kama hayo yapo lakini Mm sina evidence,” Mwekezaji na Rais wa Heshima wa Simba Sc, Mohammed Dewji.
Cc #globalonlinetv