EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Huu uzi ni wa multi user kutokana na ID yako, mbona kama unahamaki😂😂😂😂Mkuu mbona unajaza server za jf bila sababu za msingi? Stik kwenye uzi tafadhali au unaitaji ban ya lazima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu uzi ni wa multi user kutokana na ID yako, mbona kama unahamaki😂😂😂😂Mkuu mbona unajaza server za jf bila sababu za msingi? Stik kwenye uzi tafadhali au unaitaji ban ya lazima?
Mamluki hili jamaaWewe si shabiki wa simba
OKW BOBAN SUNZU Kalpana Scars GhazwatKama katoa 1.5b Kwa ajili ya usajili, ilikuwaje tulishindwa kumsajili manzoki Kwa 300mil? Yaani hapo kwenye 1.5b ukitoa iyo 300m si bado unabakiza 1.2b?
Hoja yako inakuwa ni reasonable kama hujafatilia mahojiano yake mpaka mwishoKama katoa 1.5b Kwa ajili ya usajili, ilikuwaje tulishindwa kumsajili manzoki Kwa 300mil? Yaani hapo kwenye 1.5b ukitoa iyo 300m si bado unabakiza 1.2b?
Kama upo makini utaona hii sio mara ya kwanza Mo kutoa kauli kama hiiKudadadeki,
Yaani Mo ka' Mama wa Kambo! Yaani anakupa ugali na masemango juu...
-Hapa ukitumwa hutaki lakini ukisia ugali tayari ndo wa kwanza...
-Yaani we mtoto mroho kweli, hata kutafuna chakula hutafuni, unasukumia tu ka' mzigo wa mavi kwenye choo cha shimo
-Lione linavyokombeleza mboga utadhani amenenunua shangazi yako
-Yaani unakula kama unafukuzwa. aaaaaargh!!
-Hata kunywa maji hutaki kwa sababu unaogopa utashiba haraka
-We mtoto mitonge yote hiyo, ikikukwama shingono nani unataka umsumbue?
-Liangalie linavyomwagika mijasho wakati wa kula utadhani mbeba zege
Dah! Blaza unazingua bhana!! CEO si alikuwa Da' Barbara lakini?! Ina maana ilikuwa hesabu yote wanayompelekea yeye anapitisha tu wakati tuliambiwa da' Barbara ni Kiboko ya Wapigaji pale Ukoloni Street?!
Mo hana pesa, ni maskini mwenzetu.Nyuzi za Sports zinavamiwa na wapuuzi wengi mpaka unashindwa uchangie nini mbele ya mazuzu. Unaamua kutulia tu
Wanataka nini kwani??
Vice versa is turuuSass hapo kamsimanga Nani uto?
Mbona kamjibu mwandishi kutokana na swali alilouliza. Alafu mambo ya Simba utopolo Ndiyo huwa mnateseka sijui hiki kisokolokwinyo lini kitawaisha!!
Thamani nzima ya manzoki ilitakiwa iwe Ml 900, ndipo Simba ilipochemka hapoKama katoa 1.5b Kwa ajili ya usajili, ilikuwaje tulishindwa kumsajili manzoki Kwa 300mil? Yaani hapo kwenye 1.5b ukitoa iyo 300m si bado unabakiza 1.2b?
Wewe ambaye hujatoa kiasi hicho ruksa kusema unachosema iweje yeye asiwe na ruksa ? Hii logic ya wapi ?Huyu nae mbona masimango sana kama alilazimishwa kuwekeza Simba vile