M mzabzab JF-Expert Member Joined Aug 18, 2011 Posts 41,878 Reaction score 81,593 Oct 16, 2022 #21 njaakalihatari said: sasa mgunda wampe mshahara mzuri kama wa wazungu labda waupnguze kidogo hiyo iliyopunguzwa iende kwa matola, na nyumba apewe masaki kabisaa na gari zuri la kutembelea na matibabu kwa familia yake Click to expand... Kabisa wampe mshahara mil 20 match bonas ya million 4 kila mechi ya group stage. Fortuner kama gari la usafiri na apartment Masaki.
njaakalihatari said: sasa mgunda wampe mshahara mzuri kama wa wazungu labda waupnguze kidogo hiyo iliyopunguzwa iende kwa matola, na nyumba apewe masaki kabisaa na gari zuri la kutembelea na matibabu kwa familia yake Click to expand... Kabisa wampe mshahara mil 20 match bonas ya million 4 kila mechi ya group stage. Fortuner kama gari la usafiri na apartment Masaki.
makedonia JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 4,171 Reaction score 3,461 Oct 16, 2022 #22 OKW BOBAN SUNZU said: Click to expand... Kwa kupenda Raha.....mat..k yameshalegea tayari.
Theb JF-Expert Member Joined Jan 25, 2019 Posts 3,927 Reaction score 7,276 Oct 16, 2022 #23 Maulaga59 said: Ameahidiwa Tshs 27,000,000/- kwa mwezi na marupurupu ya kila wiki! Click to expand... Aisee mshahara noma saana
Maulaga59 said: Ameahidiwa Tshs 27,000,000/- kwa mwezi na marupurupu ya kila wiki! Click to expand... Aisee mshahara noma saana
1881Okoza JF-Expert Member Joined Oct 3, 2022 Posts 693 Reaction score 949 Oct 16, 2022 #24 Kalpana said: Hahaaaa Click to expand... Azam 2-0 Al Akdar Dakika ya 90' FT Mpira umeisha
P permanides JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 11,682 Reaction score 14,241 Oct 16, 2022 #25 Waminyato said: Tulia wewe kila mkataba una terms zake,wewe wa wapi umetoka kijiji gani huko Shinyanga? Click to expand... Wala hujui chochote kuhusu mikataba, upayukaji tu.
Waminyato said: Tulia wewe kila mkataba una terms zake,wewe wa wapi umetoka kijiji gani huko Shinyanga? Click to expand... Wala hujui chochote kuhusu mikataba, upayukaji tu.
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Oct 17, 2022 #26 Mdukuzii said: Yule mzungu tusingepenya makundi labda ya watsapp Click to expand... Yule mzungu mshenzi sana ilikuwa kila mchezaji hamtaki bora kaondoka aisee
Mdukuzii said: Yule mzungu tusingepenya makundi labda ya watsapp Click to expand... Yule mzungu mshenzi sana ilikuwa kila mchezaji hamtaki bora kaondoka aisee