hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Wanakulipia yote, ila Ada yako iwe (1-1.5 M ), afu upande wa pesa ya matumizi wana budget ya 1.5M tu wakati heslb wana 2.6M kwa mwaka, nabado mashariti kibaoKwani kwenye ada hawakulipii yote??
Kwahiyo kama siyo mnufaika wa TASAF, ufadhili huu hupati?Habari za muda huu wana Jf.
Kuelekea mwaka huu wa masomo kwa Mo Dewji foundation imetangaza mpango wa kudhamini wanafunzi unaofanyika kila mwaka wa masomo .Ni fursa kwa wahitimu wenye vigezo kuomba ambapo tarehe 9 mwezi huu watu waanza kuapply siku tatu zimebaki sasa ,ukipata hapo ahueni kubwa sana.
View attachment 2774830
Tutapeana updates humu ,msaada na miongozo kwa yatakayojiri.
Sio lazima uwe mnufaika wa Tasaf hio ni kama kiambatanisho cha ziada katika kuongeza chance ya kupata .Kwahiyo kama siyo mnufaika wa TASAF, ufadhili huu hupati?
Kuna watu wana kipato cha chini lakini si wanufaika wa TASAF, hawa wafie huko?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hizi ni tuhuma usijaribu kuchafua watu bila ushahidi . Katika matajiri waislamu maarufu ambao naona hana kipaumbele sana mambo ya dini basi Mo naona namba moja hadi akaunti yake anapost sana vifungu vya bible dizain kama kahama dini hivi.Sawa waislam waislam tu. Kama mwenzie nae wa lamba lamba anishindwa tu kuweka kigezo muhimu kuwa ni uwe islamic
Rejea Makamba (Sr) akiwa jukwaani. Nadhani ndio anaongoza kusoma vifungu kuliko mwanaCCM yoyote pale LumumbaHizi ni tuhuma usijaribu kuchafua watu bila ushahidi . Katika matajiri waislamu maarufu ambao naona hana kipaumbele sana mambo ya dini basi Mo naona namba moja hadi akaunti yake anapost sana vifungu vya bible dizain kama kahama dini hivi.
Unaweza ukalinganisha hapa.Tsh ngapi ? mbona nasikia huko ndio bora kuliko Heslb kwa kutoa mpunga mrefu ?
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣Bora huo ufafhili apewe kiungo punda au auyubu akasomee ukipa pale LA masia