Mo Dewji: Simfahamu Mayele na sijawahi Kumuona

Mo Dewji: Simfahamu Mayele na sijawahi Kumuona

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Majibu ya Dewji kuhusu kuangalia mechi za Yanga, kumuona Mshambuliaji Fiston Mayele na pengine kama anatamani asajiliwe Simba.

"Kwa bahati mbaya niwe mkweli mimi sifuatilii sana mechi za Yanga "

"Sijamuona kwenye mechi lakini namsikia namuona kwenye mitandao, naona clips zake anavyofunga magoli nampongeza ni Mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

" Mimi siwezi kuongea kutokana na mkataba wake na Yanga lakini unajua Simba tupo tayari kujaribu kumpata Mchezaji bora popote Afrika , kama atakuwa ameorodheshwa na kama mkataba wake yupo tayari kuvunja na Yanga kuja Simba basi Simba itakuwa tayari lakini ni baada ya Benchi la ufundi na Scout wakikubaliana nalo " -

Mo Dewji
40A35256-9603-42B8-B2DA-009A6A239361.jpeg
 
Majibu ya Dewji kuhusu kuangalia mechi za Yanga, kumuona Mshambuliaji Fiston Mayele na pengine kama anatamani asajiliwe Simba.

"Kwa bahati mbaya niwe mkweli mimi sifuatilii sana mechi za Yanga "

"Sijamuona kwenye mechi lakini namsikia namuona kwenye mitandao , naona clips zake anavyofunga magoli nampongeza ni Mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

" Mimi siwezi kuongea kutokana na mkataba wake na Yanga lakini unajua Simba tupo tayari kujaribu kumpata Mchezaji bora popote Afrika , kama atakuwa ameorodheshwa na kama mkataba wake yupo tayari kuvunja na Yanga kuja Simba basi Simba itakuwa tayari lakini ni baada ya Benchi la ufundi na Scout wakikubaliana nalo " - Mo Dewji
View attachment 2571172
Ndo yule aliyedanganya kaweka 20b?
 
Mleta mada umeleta uzi kishakunaku.. umeandika kwa kumnukuu kuwa mo hamfahamu mayele na wala hajawahi kumuona, wakati habari inaonesha kuwa huwa anaona clips zake mtandaoni na kakiri kuwa anaonekana mchezaji mzuri..

Huo ni unywanywa.. ni kweli tajiri mo miyeyusho lakini sio mengine kuleta nyuzi za kishakunaku.
 
Majibu ya Dewji kuhusu kuangalia mechi za Yanga, kumuona Mshambuliaji Fiston Mayele na pengine kama anatamani asajiliwe Simba.

"Kwa bahati mbaya niwe mkweli mimi sifuatilii sana mechi za Yanga "

"Sijamuona kwenye mechi lakini namsikia namuona kwenye mitandao, naona clips zake anavyofunga magoli nampongeza ni Mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

" Mimi siwezi kuongea kutokana na mkataba wake na Yanga lakini unajua Simba tupo tayari kujaribu kumpata Mchezaji bora popote Afrika , kama atakuwa ameorodheshwa na kama mkataba wake yupo tayari kuvunja na Yanga kuja Simba basi Simba itakuwa tayari lakini ni baada ya Benchi la ufundi na Scout wakikubaliana nalo " -

Mo Dewji
View attachment 2571172
Sawa
 
Mpka kwenye Mwezi mtukufu mtu anakua Muongo......Makolo huyu jamaa ni Mwizi hapo Simba
Kama kuna mtu anaiibia Simba, basi Yanga wanapaswa kufurahi kimya kimya. Ukiona Yanga wanawalazimisha kwa sauti Simba wamjue mwizi wao, ujue huyo sio mwizi 😄 . Ni kama tu ambavyo Simba walimuacha Morrison aende Yanga, walijua ni shiida!
 
Mleta mada umeleta uzi kishakunaku.. umeandika kwa kumnukuu kuwa mo hamfahamu mayele na wala hajawahi kumuona, wakati habari inaonesha kuwa huwa anaona clips zake mtandaoni na kakiri kuwa anaonekana mchezaji mzuri..

Huo ni unywanywa.. ni kweli tajiri mo miyeyusho lakini sio mengine kuleta nyuzi za kishakunaku
 
Majibu ya Dewji kuhusu kuangalia mechi za Yanga, kumuona Mshambuliaji Fiston Mayele na pengine kama anatamani asajiliwe Simba.

"Kwa bahati mbaya niwe mkweli mimi sifuatilii sana mechi za Yanga "

"Sijamuona kwenye mechi lakini namsikia namuona kwenye mitandao, naona clips zake anavyofunga magoli nampongeza ni Mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

" Mimi siwezi kuongea kutokana na mkataba wake na Yanga lakini unajua Simba tupo tayari kujaribu kumpata Mchezaji bora popote Afrika , kama atakuwa ameorodheshwa na kama mkataba wake yupo tayari kuvunja na Yanga kuja Simba basi Simba itakuwa tayari lakini ni baada ya Benchi la ufundi na Scout wakikubaliana nalo " -

Mo Dewji
View attachment 2571172
 

Attachments

  • IMG_20230330_211029.jpg
    IMG_20230330_211029.jpg
    223.1 KB · Views: 3
Mpka kwenye Mwezi mtukufu mtu anakua Muongo......Makolo huyu jamaa ni Mwizi hapo Simba
Kupitia haya maelezo yake, unagundua wazi simba ina mwekezaji muongo na mjanja mjanja.

Kwa hiyo hata katika mechi zaidi ya 3 alizocheza dhidi ya timu yake ya simba, hakumuona! Na badala yake anamsikia sikia tu!! Kweli uongo ni kipaji.
 
akili za watu wa jf wanafikiri mo anao muda wa kuangalia Kila mechi ya simba kiufupi , mo anaangalia sana mechi za club bingwa , kwa mwaka mechi hazifiki hata kumi
 
akili za watu wa jf wanafikiri mo anao muda wa kuangalia Kila mechi ya simba kiufupi , mo anaangalia sana mechi za club bingwa , kwa mwaka mechi hazifiki hata kumi
Wakati Mayele anawapiga bao mbili Simba Mwamedi alikuwa anaangalia cricket?
 
Majibu ya Dewji kuhusu kuangalia mechi za Yanga, kumuona Mshambuliaji Fiston Mayele na pengine kama anatamani asajiliwe Simba.

"Kwa bahati mbaya niwe mkweli mimi sifuatilii sana mechi za Yanga "

"Sijamuona kwenye mechi lakini namsikia namuona kwenye mitandao, naona clips zake anavyofunga magoli nampongeza ni Mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

" Mimi siwezi kuongea kutokana na mkataba wake na Yanga lakini unajua Simba tupo tayari kujaribu kumpata Mchezaji bora popote Afrika , kama atakuwa ameorodheshwa na kama mkataba wake yupo tayari kuvunja na Yanga kuja Simba basi Simba itakuwa tayari lakini ni baada ya Benchi la ufundi na Scout wakikubaliana nalo " -

Mo Dewji
View attachment 2571172
Gabachori muongomuongo huyu halafu anaonekana ni Chori na anawachoria tu Simba
 
Back
Top Bottom