Mo Dewji tuachie timu yetu

Mo Dewji tuachie timu yetu

ndio maaana mpira wa Kibongo kamwe hauwezi kukuwa wala kuendelea maaana wabongo wanajua kuchonga maneno zaidi kuliko........
kazi ya wabongo ni kupiga majungu na fitina soka tuwaachie wenyewe.
 
Unayelalamika huwezi hata kununua jezi ya Simba, ukiachiwa hii taasisi utaipeleka wapi?

Nadhani wewe Ni utopolo United!

Toka Mo aanze kuweka pesa yake Simba tunafurahia team nzuri yenye wachezaji wenye uwezo na ushindi mara nyingi.

Mimi Kama shabiki nahitaji furaha ya ushindi tu na wala sihitaji mgao wa pesa.

Acheni wenye pesa wawekeze, nyie bakini kushangilia tu.

I stand with MO Dewji [emoji471][emoji471][emoji471][emoji471][emoji966][emoji966][emoji966][emoji966]
 
We unateseka ukiwa wapi?





Mo haondiki simba na simba tunamtaka Mo piga kazi baba tuletee furah msimbazi
 
Huyu nia yake ya kujimilikisha Timu ya Simba sasa imekua dhahiri.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Dewj anawaondoa watu wote ambao wamekuwa kikwazo katika mkakati wake.

Huyu ametapatapa sana kutaka kumiliki timu, tangu Africa Lion ambayo ilimshinda na kuja Simba kwa mgongo wa udhamini.

Haji Manara ameondolewa makusudi. Mo Dewj alimtumia Babra ili amkoseshe amani Manara, lengo walitaka Manara akasirike na kuongea maneno kwa hasira ili wapate njia ya kumchafua kwa Mashabiki.

Mo Dewji hataki kutoa Bilioni 20. Anamtumia Hawara yake Barbara kuomba mkopo kwa Bwana wake Dewji ili Baade waje kuzikat toka Bil 20.

Niwakati sasa Mchakato wa mabadiliko urudiwe. Tunataka muundo uwe kama Yanga, hatutaki Muwekeaji Mmoja
Utopolo mnatapatapa haya nendeni mkashitaki CAS ili Mo aondolewe Simba
 
Hivi na yeye hana say kwenye hio timu yenu ?

Au timu ni yenu, yeye hayumo ? au ni yenu nyote na yeye akiwemo ?
 
Nyie michepuko ya haji mnahangaika. Wewe na haji mna team gani? Hata umewahi wanunulia maji wachezaji wa simba? Kama unampenda sana haji mzalie mtoto basi. MO AICHUKUE SIMBA YOTE YOTE KABISA. Njaa inatawaua. Mnazitaka sana hizo 20 Billion eeeeh? 😀😀😀😀 Tafuta bwana mwingine.

Huyu nia yake ya kujimilikisha Timu ya Simba sasa imekua dhahiri.

Taarifa za ndani zinasema kuwa Dewj anawaondoa watu wote ambao wamekuwa kikwazo katika mkakati wake.

Huyu ametapatapa sana kutaka kumiliki timu, tangu Africa Lion ambayo ilimshinda na kuja Simba kwa mgongo wa udhamini.

Haji Manara ameondolewa makusudi. Mo Dewj alimtumia Babra ili amkoseshe amani Manara, lengo walitaka Manara akasirike na kuongea maneno kwa hasira ili wapate njia ya kumchafua kwa Mashabiki.

Mo Dewji hataki kutoa Bilioni 20. Anamtumia Hawara yake Barbara kuomba mkopo kwa Bwana wake Dewji ili Baade waje kuzikat toka Bil 20.

Niwakati sasa Mchakato wa mabadiliko urudiwe. Tunataka muundo uwe kama Yanga, hatutaki Muwekeaji Mmoja
 
Nyie michepuko ya haji mnahangaika. Wewe na haji mna team gani? Hata umewahi wanunulia maji wachezaji wa simba? Kama unampenda sana haji mzalie mtoto basi. MO AICHUKUE SIMBA YOTE YOTE KABISA. Njaa inatawaua. Mnazitaka sana hizo 20 Billion eeeeh? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Tafuta bwana mwingine.
[emoji23]
 
Acha ujinga wakati anainunua timu ulikuwa wapi unaibuka sasa atuachie timu yetu yenu nanani? Ni wachezaji wangapi umewanunua au unaweza kuwalipa mshahara hata wa siku moja kenge wee! unabwabwaja tuu..wewe unafikiri kwa mwezi anatumia kiasi gani? au ukiambiwa fedha alizotumia wakati timu inashiriki mashindano ya kimataifa unaweza kulinganisha na hako ka bilioni 20? Mnataka timu iendelee kuendeshwa kienyeji ili muwe mnapiga pesa ? Dude zima na kitambi mjini halina kazi ni kupiga kelele za mpira kwenye timu za watu ili mpate chochote..Kiboko yenu barbara kathibiti mspato yote hakitoki kitu hapo mvimbe, mpasuke wembe ni ule ule
 
Yanga huyu jamaa wanamchukia sana, kawakosesha furaha miaka minne mfululizo .. anyway shabiki hamna anachokitaka zaidi ya furaha na burudanj ya soka hayo mengine waachieni wenyewe .. mo ataendelea kubaki Simba, wenye kuteseka semeni kabisa mnateseka mkiwa wapi ..
Tena ingekuwa vizuri timu tumpe iwe yake kabisa..
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Hamna akili, kama mnampenda Manara mfuateni popote atakapokwenda, ikibidi mkawe ma house girl wake mumuoshee vyombo kabisa.
 
Back
Top Bottom