Ikiwa tunaamini bongo movie ilikufa na kanumba.Ubunifu ,uhalisia na uwekezaji utakaoenda sambamba na teknolojia tumeshindwa kukimbizana navyo.Vyote hivyo havitoshi kusema bongo movie Wanafeli bila kusema watu aina ya Mudy ni sababu mojawapo ya kufa maigizo hasa upande wa vichekesho.
Sasa kwa hali hii maigizo ya kweli watatoboa kupitia wapi.?Mudy aache maigizo ya kitoto kama wale watafuta kick . Huyu kanji wa mchongo katika biashara zake na uwekezaji kwenye makampuni kibao chini ya mwavuli wa metl kulipojaa unyonyaji na ukandamizaji usioelezeka.Tukio la kutekwa na baada ya kuachiwa vyote hivi hajawahi kusema hadharani.Ikija ishu ya Simba tena akiona hela za CAF zipo mlangoni anaibuka na madai
Makolo fc sanukeni