SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amuachie nani timu? Wewe umechangia sh ngapi hapa Simba? Hivi nyinyi washabiki maandazi ndio mnaoua soka letu
Mpira una matokeo matatuAkiulizwa na mwandishi wa Grobal online Tv juu ya mapenzi yake kwa Simba, Mohamedi Dewji amejibu.
"Mimi naipenda sana Simba, Mimi ni shabiki wa Simba na huwa naumia sana pindi timu ikipata matokeo mabaya hasa kwenye mechi kubwa".
“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia sana”.
Je Mwanasimba ulifanya nini baada ya kipigo cha Raja? Kama tajili alijifungia kwny gari na kuanza kulia wewe Ulienda kulilia chooni au uvunguni?
Kolo mkuu katika ubora wakeMambo ya Bollywood
Ila kuna watu jamani,mnajua kunipa rahaMambo ya Bollywood
Kuna matukio machache sana ninanayo yafahamu, na ambayo yanaweza kumsababishia mwanume kulia. Na kwa bahati mbaya, katika hayo matukio yote; hili la timu yako kufungwa na timu nyingine, halipo.Akiulizwa na mwandishi wa Grobal online Tv juu ya mapenzi yake kwa Simba, Mohamedi Dewji amejibu.
"Mimi naipenda sana Simba, Mimi ni shabiki wa Simba na huwa naumia sana pindi timu ikipata matokeo mabaya hasa kwenye mechi kubwa".
“Simba ni klabu ambayo nimeipenda tangu nikiwa mdogo, naipenda Simba kutoka moyoni, mechi ya juzi tulipofungwa na Raja nimekaa kwenye Gari nimelia sana”.
Je Mwanasimba ulifanya nini baada ya kipigo cha Raja? Kama tajili alijifungia kwny gari na kuanza kulia wewe Ulienda kulilia chooni au uvunguni?