redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
MO ni mjanjamjanja kawashika mbumbumbu fc, MO hanampango wa uwekezaji wa kweli kwenye mpira wa miguu, Kawazuga Simba kwa hosteli ambazo hazijazidi milioni 500.
Niwakimbushe MO alishindwa pale Singida, akainunua African Lyon ikamshinda sasa anaitumia Bland ya Simba kiulaiiin na kunufaika na biashara zake uku wenyewe Mbumbumbu wakiamini wamepata mwekezaji.MO hawezi kuthubutu kununua mchezaji wa dola laki na hamsini alafu mbumbumbu wanahisi wanamwekezaji.
Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app
Niwakimbushe MO alishindwa pale Singida, akainunua African Lyon ikamshinda sasa anaitumia Bland ya Simba kiulaiiin na kunufaika na biashara zake uku wenyewe Mbumbumbu wakiamini wamepata mwekezaji.MO hawezi kuthubutu kununua mchezaji wa dola laki na hamsini alafu mbumbumbu wanahisi wanamwekezaji.
Sent from my moto g(7) play using JamiiForums mobile app