Mo Mo Mo! nimekuita mara tatu

Mo Mo Mo! nimekuita mara tatu

Duh,Mugalu hakukosea kuwaita Wanafiki. So ndio nyie msimu uliopita mlikuwa mnasema biriani linapikwa popote pale,leo hii mnasingizia Viwanja na mbaya zaidi almost Viwanja vyote vya Mkoani vinafanana ndio kusema kuwa mtashinda match zenu kwa Mkapa, Kagera na Azam sio?
Hata msimu uliopita kiongozi kuna mechi viwanja viliharibu mpira na watu walilisemea kaka. Turudi na.kusimamia ukweli uwanja haukuwa rafiki na kwa mugalu mimi.sijamponda kutokana na hali.ya.juzi.maana imetokea hivyo.

kikubwa ni.timu kujitadhimini.ziadi.na kufanyia.kazi mapungufu yaweze kurekebishika na timu isimame vzr katika kutafuta matokeo popote pale na.

Hawaja fungwa leo japo.hawajafunga nao.sio.mbaya pia baishara wapo.vzr ndio.mpira
 
Mechi ya kwanza ya ligi kama ndio bingwa anapatikana kwa kushinda hiyo apewe kombe.
Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saana
 
Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saana
Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.
 
Ila mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu kwa hyo we unaona tungemsajili juma na aucho tungefika final caf champion's league
 
Gari likiwaka.mtaanza kusifia hakuna kitu utafanya kila.siku wewe ushinde wewe tu haaahhhh. Tujifunze kuwa na subira. Katika imani subira ni tiba. Simba haija anza vibaya hii ligi imeanza vzr na uwanja umewaharibia plan zao leo.
League ni jinsi unavyomaliza sio unavyoanza. Yanga mwaka jana waliongoza almost 90% ya msimu wa 20/21 lakini Ubingwa ulienda Msimbazi
 
League ni jinsi unavyomaliza sio unavyoanza. Yanga mwaka jana waliongoza almost 90% ya msimu wa 20/21 lakini Ubingwa ulienda Msimbazi
Mwaka jana game mbili za mwanzo tulianza vibya kwa kuooteza zote na tukabeba ubingwa
 
Ila mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu kwa hyo we unaona tungemsajili juma na aucho tungefika final caf champion's league
Ubaya wao wametolewa hatua ya mwanzo tena kwa kipigo cha nyumbani na ugenini
 
Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
 
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanyaje tathmini ya ushindi kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
 
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanya tathmini ya nn kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
Kufungwa au ku draw mechi moja sio kukosa ubingwa mkuu. Hauwezi kishinda tu wewe kila siku wanzio nao wanajipanga kwa kushinda
 
swala la mo kuingilia maswala binafsi ya wachezaji ndio linamfanya watu wamuite mwamedi.chama hata hakuna na nia ya kuondoka ila kutokana a na uswahili wake Chama akaondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.

Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.

Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.

Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.

Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Jinga kabisa,mabasi ya kupewa utayauzaje
 
Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.

Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.

Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.

Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.

Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Unaweza kutoa mfano wa mchezaji hata mmoja mzuri kuliko walioko Simba waliosajiliwa kwa Pesa toka kwenye Mkataba wa Azam??
 
Back
Top Bottom