Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata msimu uliopita kiongozi kuna mechi viwanja viliharibu mpira na watu walilisemea kaka. Turudi na.kusimamia ukweli uwanja haukuwa rafiki na kwa mugalu mimi.sijamponda kutokana na hali.ya.juzi.maana imetokea hivyo.Duh,Mugalu hakukosea kuwaita Wanafiki. So ndio nyie msimu uliopita mlikuwa mnasema biriani linapikwa popote pale,leo hii mnasingizia Viwanja na mbaya zaidi almost Viwanja vyote vya Mkoani vinafanana ndio kusema kuwa mtashinda match zenu kwa Mkapa, Kagera na Azam sio?
Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saanaMechi ya kwanza ya ligi kama ndio bingwa anapatikana kwa kushinda hiyo apewe kombe.
Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saana
League ni jinsi unavyomaliza sio unavyoanza. Yanga mwaka jana waliongoza almost 90% ya msimu wa 20/21 lakini Ubingwa ulienda MsimbaziGari likiwaka.mtaanza kusifia hakuna kitu utafanya kila.siku wewe ushinde wewe tu haaahhhh. Tujifunze kuwa na subira. Katika imani subira ni tiba. Simba haija anza vibaya hii ligi imeanza vzr na uwanja umewaharibia plan zao leo.
Biashara wamejutahidi kuonesha uwezo japo uwanja ulitunyima kuona utamu wa mchezo wa leo. Ule uwanja ufungiwe tu aisee hatari saana uwanja ule
Uwanja mbovu sana.Ufungiwe ili Yanga ashinde vizuri sio?
Mwaka jana game mbili za mwanzo tulianza vibya kwa kuooteza zote na tukabeba ubingwaLeague ni jinsi unavyomaliza sio unavyoanza. Yanga mwaka jana waliongoza almost 90% ya msimu wa 20/21 lakini Ubingwa ulienda Msimbazi
Ubaya wao wametolewa hatua ya mwanzo tena kwa kipigo cha nyumbani na ugeniniIla mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu kwa hyo we unaona tungemsajili juma na aucho tungefika final caf champion's league
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanyaje tathmini ya ushindi kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Kufungwa au ku draw mechi moja sio kukosa ubingwa mkuu. Hauwezi kishinda tu wewe kila siku wanzio nao wanajipanga kwa kushindaSasa mkuu mwisho wa msimu utafanya tathmini ya nn kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
hujielewwi wewe.mo amewapa simba akina nani wakati yeye ndio mwenyekiti wa bodiNa bado,naskia anaitaka mo arena yake kule bunju,ati kashawapa Simba b20 zao wakajenge uwanja wao [emoji23][emoji1787][emoji24]
Jinga kabisa,mabasi ya kupewa utayauzajeKubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.
Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.
Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.
Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.
Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Unaweza kutoa mfano wa mchezaji hata mmoja mzuri kuliko walioko Simba waliosajiliwa kwa Pesa toka kwenye Mkataba wa Azam??Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.
Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.
Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.
Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.
Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?