Mo na genge lako mjiandae kisaikolojia mtakuwa mhahudhuria uwanjani peke yenu

Mo na genge lako mjiandae kisaikolojia mtakuwa mhahudhuria uwanjani peke yenu

yitzhak

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2019
Posts
616
Reaction score
853
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako
 
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako

Makubwa haya. Kumbe Mo alijiteka! Kufungwa kubaya jameni.
 
Hebu mkuu kwanza karibu kiti keti kwanza utuelezee wana Simba wenzio.Hebu ngoja weeeeee Demiss hebu mletee Sharubati Shemejio kwanza.Enheee Ankali wasemaje Nsalamaaa kwanza.
 
mze
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako
[sawa mkwabi
 
Thimba baridiiiiiii
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako
 
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako
Wambea utawajua tu. Huyu aliyeandika utadhani ana ushawishi wowote Simba, kwamba anaweza kuwaambia watu sasa nendeni uwanjani au msiende. Wanaskwenda uwanjani wanafanya hivyo kwa mapenzi ya timu yao au mpira.

Wapo baadhi ya watu wanajaa uwanjani wala si wapenzi wasimba ila wanapenda mpira. Natamani kama una uwezo uwashawishi watu wote wasiende uwanjani tuone.

Kilichotokea leo ni matokeo ya kawaida ya mpira, na kwa kiasi kikubwa yametokana na wachezaji kujiamini kupita kiasi. Huyo kilomoni hana lolote. Miaka mitano iliyopita timu ilifanya hovyo sana, alikuwa wapi kuisadia timu. Huu ujinga ndo unafanya nchi hii hatuendelei
 
Sema hutahudhuria babu kilomoni, makosa ya leo hayamaanishi ubovu katika uwekezaji.
Big up Simba tujipange upya uyo babu Kilomoni asitie pua yake msimbazi
 
Kweli nimeamini magori ni mzee wa fitna kuliko mtanzani yoyote! Baada ya kuwekwa pembeni tuu bundi amerudi msimbazi, tena msipo stuka mwaka huu mnashuka daraja
 
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako
Haya ni mavi tena mabichi n ya binadamu mțu mzima..
Huoni kinyaa yanatoka mdomoni mwako? Yak!
 
Back
Top Bottom