Mo na genge lako mjiandae kisaikolojia mtakuwa mhahudhuria uwanjani peke yenu

Mo na genge lako mjiandae kisaikolojia mtakuwa mhahudhuria uwanjani peke yenu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]MANENO ya mkosaji.
SISI NI SIMBA DAMU DAMU .
Win or lose.
kwani kilomoni yeye ni ALLAH?
 
Relax acha presha za kishamba inafungwa Manchester United sembuse Simba..
 
IMG-20190825-WA0010.jpg
 

Attachments

  • IMG-20190825-WA0014.jpg
    IMG-20190825-WA0014.jpg
    16.6 KB · Views: 20
Tulikuonya acha kutumia ubabe wa pesa ili upate ushawishi Simba
Ukamdharau Mzee wetu kilomoni ukafanya fitina apate misuko suko ya polisi ili uonekane we ndio mtu sahihi Simba
Nakwambia siku zako zinahesabika na
Nadhani umeona mahudhurio ya uwanjani kati ya Simba na mechi za azam na mechi ya Leo dhidi ya timu kutoka msumbiji

Sio kwamba hatukujua umuhimu wa mechi ya Leo ila tulikuachia wewe na kundi lako mkaujaze uwanja

Ulidhani Mzee kilomoni ni mjinga Fulani tu haya jiandae wewe kuitwa mjinga

Nyuma ya Mzee kilomon kuna watu wenye Simba yao wewe uliyeamua kutumia Nguvu ya pesa kutuondoa sisi tusiwe sehemu ya Simba jiandae sawa kisaikolojia

Kwakua Simba imeanza kuonekana ni ya mtu mmoja na uwanjani itakua huvyo hivyo watakuwa wanakuja nyumbu wako tu tunaojitambua tumekaa pembeni siku ukichoka utuachie timu yetu

Pesa zako sio kila kitu kwenye mpira wetu ila timu yetu ndio kila kitu

Sisi tutamtii Mzee kilomoni mpaka mwisho wewe hatukutambui ni km mgeni tu tunajua utapita

Tunazidi kuangalia maigizo yako kuhusu uwanja wa bunju umatoa pesa mkono wa kushoto unahamishia kulia kuwalaghai wanasimba wasiojielewa kuwa unajenga uwanja kwa pesa zako hahah

Muda ukifika tutasema

Simba haitamilikiwa na mtu hata usiku mmoja
Huu ni mwanzo tu

Mechi za ligi tutahudhiria mechi ya Yanga tu zingine utaangalia wewe na genge lako

Tatizo ww na Kilomoni ni maneno tu, hamna ela, mpira wa sasa ni fedha sio vyeo na maneno tu yasio na msingi, wakati Kilomoni yupo simba ilicheza mashindano gani?
 
Hasira zako ni mithili ya kada wa CCM aliyekosa posho ya kikao.
 
Swali la kizushi, mwaka huu tumepata nafasi 4 baada ya Simba kufanya vzr mwaka uliopita , je kwa style hii haiwezi kutuathiri huko CAF ?
 
Hatutaenda hata ya yanga Hatutaenda mpaka gabachori atakapotuachia timu yetu
 
Kuna mdau kaandika sehemu..Kuna mchezaji hatari na mchezaji machachari..Okwi hatari na Kanda machachari
 
Tatizo mliaminishwa ujinga na nyie mkaununua[emoji126][emoji126]eti usajili mliofanya ni wa CL na sio VPL
 
Hivi hawa wabrazil walisajiliwa na kulipwa mamilioni waje wacheze na lipuli kumbe?
Hapa kwakweli walifeli.Unamtoa kweli mtu toka dunia nyengine aje kuchoma mahindi Jamani!!!!!...Ila naunga mkono uwekezaji wa Moo 95% iliyobaki ni sababu ya kuzungukwa na watu wajanjawajanja na yy mwenyewe kuonekana anataka sifa zisizo na sababu yoyote.
 
Back
Top Bottom