Mo Salah hapewi mkataba mpya sababu ya ubaguzi, hakuna kingine

Mo Salah hapewi mkataba mpya sababu ya ubaguzi, hakuna kingine

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Waingereza ni watu wabaguzi sana. Mashabiki wa Liverpool na wapenzi wa mpira wa miguu wanajiuliza mbona mwamba hapewi mkataba mpya

Viongozi wa timu wamekaa kimya kama hawamuoni mwamba, na Yuko on [emoji91][emoji91]
Nimekuja kugundua ni kwa sababu ya UAFRIKA wake tena zaidi MUARABU..

muingereza kuliko MUARABU akae juu yake Bora afe. Mna kumbuka ishu ya princess Diana, MUARABU alikua anamgonga na nusu apate mimba sijui ingekuaje prince wa uingereza MUARABU ndio mana "alipotezwa"

hii ishu ya Salah unakuta imeshaongelewa pengine na makaburu wa FA na timu husika kua huyu msimpe mkataba ataenda kuweka rekodi ya kua MUARABU / muafrika kutoka afrika atakayeongoza kwa ufungaji wa magoli ligi kuu kwa muda wote akimpita kaburu Alan shearer au kaburu Rooney na akina Cole ..

Cha kumshauri Mo Salah aendelee kufunga sana kwa miezi hii minne ya mikataba aliyobakisha aende zake arabuni akapige pesa. Ameshaingia top 5 ya wafungaji Bora wa EPL wa muda wote, hio inatosha. Ila asahau mkataba mpya sababu ya ubaguzi.
 
Acha uongo.. Wewe ndio mbaguzi.. Kila kitu aliweka wazi
Waingereza wabaguzi , vimba pasuka huo ndio ukweli...MUARABU hawezi ruhusiwa kutawala uingereza. Sahau hii kitu katika maisha yako ..hata man city kununuliwa na waarabu ilitumika nguvu kubwa sana, man UTD ilipaswa inunuliwe na MUARABU na alifika bei na kuzidisha, wakaleta uingereza wa kipumbavu, saivi Wana struggle wasishuke daraja
 
Mo salah analipwa mshahara mkubwa sana akiongezewa mkataba maana ake aongezewe na masilahi pia. Kumbuka timu inahitaji kubalance vitabu vyake vya uhasibu, kumbuka umri ushaenda ni risk zaidi kufanya uwekezaji mkubwa kwake.

Barca walitumia nguvu kubwa kumbakisha messi matokeo yake jamaa kaondoka kaacha timu imefirisika
 
Waingereza wabaguzi , vimba pasuka huo ndio ukweli...MUARABU hawezi ruhusiwa kutawala uingereza. Sahau hii kitu katika maisha yako ..hata man city kununuliwa na waarabu ilitumika nguvu kubwa sana, man UTD ilipaswa inunuliwe na MUARABU na alifika bei na kuzidisha, wakaleta uingereza wa kipumbavu, saivi Wana struggle wasishuke daraja
Nonsense ubaguzi unao ww na fikra zako
 
Viongozi wa timu wamekaa kimya kama hawamuoni mwamba, na Yuko on
emoji91.png
emoji91.png

Nimekuja kugundua ni kwa sababu ya UAFRIKA wake tena zaidi MUARABU..
8659fae52f3678e78a71021374e303dd.jpg
 
Mo ataki kusalia anfield
Na sababu ni dharau waliyomuonyesha viongozi, kwanza walimlia buyu, na hata kama Kuna mkataba basi aliona hauendani na anachofanya hapo anfield ukiacha sababu ya ubaguzi..makaburu haywwez kubal Arab aweke historia kwenye ardhi ya uingereza..hapo wameshashtuka kwanza ameshawapita makaburu akina lampard na akina Fowler,
 
N
Kuna mkataba wa miaka miwili mezani Liverpool wameweka ila Mo hataki kusaini,may be anataka kuondoka kama free agent akapige hela zake za kustaff Saudi Arabia, ila Liverpool wapo tayari kumpatia makataba siku yoyote. AL hilal wanamtaka kama mbadala wa Naymer aliye ondoka dirisha hili kurudi kwao Brazil .

View: https://m.youtube.com/watch?v=cU2WlRmoKss&pp=ygUdTW8gc2FsYWggb2ZmZXJlZCBtZXcgY29udHJhY3Q%3D

Ngoja nifatilie hii taarifa na kama kweli Kuna mkataba mezani tena baada ya kumkalia kimya kwa muda mrefu na dharau juu, yeye kutotaka kusain ni majibu kwamba anachokiona mezani hakistahili kwa hadhi yake na anachokifanya hapo anfield , na hio ni njia tu ya wao kujisafisha ama kumuondoa kiaina
 
Kila kitu mnakimbilia ubaguzi dogo fatilia Jua kali sio Mpira ivi unajua historia ya liva walivyo wabahili? Salah anakunja mkwanja mrefu mnoo kuliko mtu yoyote pale Anfield Timu yenyewe ni wabahili wa kutupwa hawana hela ya kumlipa na salah hataki kushusha mshahara
 
Kila kitu mnakimbilia ubaguzi dogo fatilia Jua kali sio Mpira ivi unajua historia ya liva walivyo wabahili? Salah anakunja mkwanja mrefu mnoo kuliko mtu yoyote pale Anfield Timu yenyewe ni wabahili wa kutupwa hawana hela ya kumlipa na salah hataki kushusha mshahara
Una ushahidi gani kama salah ndo anapata mkwanja mrefu kuliko mtu yeyote Anfield
 
Waingereza ni watu wabaguzi sana. Mashabiki wa Liverpool na wapenzi wa mpira wa miguu wanajiuliza mbona mwamba hapewi mkataba mpya

Viongozi wa timu wamekaa kimya kama hawamuoni mwamba, na Yuko on [emoji91][emoji91]
Nimekuja kugundua ni kwa sababu ya UAFRIKA wake tena zaidi MUARABU..

muingereza kuliko MUARABU akae juu yake Bora afe. Mna kumbuka ishu ya princess Diana, MUARABU alikua anamgonga na nusu apate mimba sijui ingekuaje prince wa uingereza MUARABU ndio mana "alipotezwa"

hii ishu ya Salah unakuta imeshaongelewa pengine na makaburu wa FA na timu husika kua huyu msimpe mkataba ataenda kuweka rekodi ya kua MUARABU / muafrika kutoka afrika atakayeongoza kwa ufungaji wa magoli ligi kuu kwa muda wote akimpita kaburu Alan shearer au kaburu Rooney na akina Cole ..

Cha kumshauri Mo Salah aendelee kufunga sana kwa miezi hii minne ya mikataba aliyobakisha aende zake arabuni akapige pesa. Ameshaingia top 5 ya wafungaji Bora wa EPL wa muda wote, hio inatosha. Ila asahau mkataba mpya sababu ya ubaguzi.
Hujui mpira madrid walivyomkatalia ronaldo R7 mkataba mpya walikuwa wabaguzi?unajua sababu?
 
N

Ngoja nifatilie hii taarifa na kama kweli Kuna mkataba mezani tena baada ya kumkalia kimya kwa muda mrefu na dharau juu, yeye kutotaka kusain ni majibu kwamba anachokiona mezani hakistahili kwa hadhi yake na anachokifanya hapo anfield , na hio ni njia tu ya wao kujisafisha ama kumuondoa kiaina
Salah kaanza kubembelezwa tokea mwezi wa November,ila Al Hilal ya Saudi wameweka mzigo mrefu mnoo,ambao unamfanya Salah agome kuongeza mkataba.Saudi wao wanabrand na kupromoti ligi yao hela sio tatizo ndio maana wanawavutia wachezaji kwa offer kubwa,unakuta mchezaji anakiwango cha kawaida kutoka ligi ya ulaya,ila akienda Saudi analipwa mara tatu na hawakatwi kodi.

Liverpool uwezo wa kumfanya awe mchezaji anayelipwa vizuri EPL wanao kwani mkataba wa sasa anakunja 350k Pound kwa wiki,hebu nitajie tu wachezaji wangapi wanaokunja 350k kwa wiki kwenye EPL? na kwenye huu mkataba mpya bila shaka watamwongezea.Salah kwa mkataba wake wa sasa alio nao ni KDB (400k) na Haland(375k) ndio wanao mzidi,akiongeza mkataba mpya basi bila shaka yy ndiye atakayekuwa wa kwanza na Liverpool wapo tayari.
 
Hujui biashara ya michezo or any business for that matter.
 
Waingereza ni watu wabaguzi sana. Mashabiki wa Liverpool na wapenzi wa mpira wa miguu wanajiuliza mbona mwamba hapewi mkataba mpya

Viongozi wa timu wamekaa kimya kama hawamuoni mwamba, na Yuko on [emoji91][emoji91]
Nimekuja kugundua ni kwa sababu ya UAFRIKA wake tena zaidi MUARABU..

muingereza kuliko MUARABU akae juu yake Bora afe. Mna kumbuka ishu ya princess Diana, MUARABU alikua anamgonga na nusu apate mimba sijui ingekuaje prince wa uingereza MUARABU ndio mana "alipotezwa"

hii ishu ya Salah unakuta imeshaongelewa pengine na makaburu wa FA na timu husika kua huyu msimpe mkataba ataenda kuweka rekodi ya kua MUARABU / muafrika kutoka afrika atakayeongoza kwa ufungaji wa magoli ligi kuu kwa muda wote akimpita kaburu Alan shearer au kaburu Rooney na akina Cole ..

Cha kumshauri Mo Salah aendelee kufunga sana kwa miezi hii minne ya mikataba aliyobakisha aende zake arabuni akapige pesa. Ameshaingia top 5 ya wafungaji Bora wa EPL wa muda wote, hio inatosha. Ila asahau mkataba mpya sababu ya ubaguzi.
Dogo hujui kitu halafu ni tabia yenu kila wakati kujishuku na kuwa na inferiority complex. Wala sishangai. Ila unasahau mpaka hapo anachezea team gani na ipo nchi gani. Nyie hampendi elimu kabisa sijui kwa nini.
 
Mo salah analipwa mshahara mkubwa sana akiongezewa mkataba maana ake aongezewe na masilahi pia. Kumbuka timu inahitaji kubalance vitabu vyake vya uhasibu, kumbuka umri ushaenda ni risk zaidi kufanya uwekezaji mkubwa kwake.

Barca walitumia nguvu kubwa kumbakisha messi matokeo yake jamaa kaondoka kaacha timu imefirisika
We unaona atakuelewa kabisa!!?
 
Waingereza wabaguzi , vimba pasuka huo ndio ukweli...MUARABU hawezi ruhusiwa kutawala uingereza. Sahau hii kitu katika maisha yako ..hata man city kununuliwa na waarabu ilitumika nguvu kubwa sana, man UTD ilipaswa inunuliwe na MUARABU na alifika bei na kuzidisha, wakaleta uingereza wa kipumbavu, saivi Wana struggle wasishuke daraja
Unaweza kwa kutumia kiungo gani? Mwarabu atawale Uingereza kwani ni kwake? wewe uliwahi kuona mzungu anatawala nchi za Waarabu?! Wazungu wanaamini sana kwenye umri, ukishakuwa 30+ wewe ni spent item. Tuliwaona Chelsea ikigoma kuwaongea mikataba akina Drogba na wenzake kwa ajili ya umri.
 
Back
Top Bottom